figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
TAFITI: Matatizo ya kisaikolojia kama sonona/huzuni kuu (depression), wasiwasi (anxiety) na matatizo mengine ya akili kipindi cha utoto huathiri sana kipato cha baadae na maisha yao ya mahusiano kama kuchelewa sana kuoa/kuolewa au kubadilisha sana wapenzi. (Tiba Fasta)