technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,553
- 57,843
Kuanzia leo baada ya huu uchafuzi
Hakuna tena Mtanzania atakaye chukuliwa poa .
Iwe kwenye huduma au siasa au chochote.
Kuanzia Leo uchawa utakoma
Uhuni utaisha urasimu na ufisadi utapungua.
Hakutakuwa na utekaji tena Wala watu kuuawa ovyo tena.
Tanzania itapitia mabadiliko makubwa ambayo hayajawai kushahudiwa toka tupate Uhuru.
Tanzania haitakuwa ile tena watu tutaheshimina tena ule utu wa mtu kutwezwa na vijana kutukanwa ndio umezikwa rasmi leo.
Vijana wa TANZANIA hongereni kwa kupigania haki kwa ajili ya faida ya vizazi vijavyo.
Waliokufa Mungu awalaze mahali pema peponi ni mashujaa wa Taifa
Tanzania haitakuwa tena Shamba la Bibi I'm so proud of Tanzania.🇯🇲🇯🇲🇯🇲.
Hakuna tena Mtanzania atakaye chukuliwa poa .
Iwe kwenye huduma au siasa au chochote.
Kuanzia Leo uchawa utakoma
Uhuni utaisha urasimu na ufisadi utapungua.
Hakutakuwa na utekaji tena Wala watu kuuawa ovyo tena.
Tanzania itapitia mabadiliko makubwa ambayo hayajawai kushahudiwa toka tupate Uhuru.
Tanzania haitakuwa ile tena watu tutaheshimina tena ule utu wa mtu kutwezwa na vijana kutukanwa ndio umezikwa rasmi leo.
Vijana wa TANZANIA hongereni kwa kupigania haki kwa ajili ya faida ya vizazi vijavyo.
Waliokufa Mungu awalaze mahali pema peponi ni mashujaa wa Taifa
Tanzania haitakuwa tena Shamba la Bibi I'm so proud of Tanzania.🇯🇲🇯🇲🇯🇲.