FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Utaniambia nini kuhusu USA? I have been there,i lived there,i studied there so when you talk about the US,its my other home. So you know.
Silaha haziui watu,watu ndio wanaua watu.
Ulitaka auze nini? Kama demand ni kubwa. Blame on your leaders ambao badala ya kuuumizwa kichwa kukuza uchumi wa nchi zao wao kutwa kutembea dunia na kununua silaha.
By the way check kitu kipo online. Uone jinsi nchi za africa zilivyo nunua masilaha hatari juzi juzi tu.
We are discussing in totally different wavelengths.
With your last line you have in-cognizant confirmed and reproduced what I depicted.
Kudos American jungle boy.