Kuanguka kwa Marekani hakuepukiki

Kuanguka kwa Marekani hakuepukiki

Basi ni vema kwa hiyo umekubali USA ndo yuko juu ataanguka...........LOL Bufa unasikia mbambo hayo? Akili ndongo haiwezi kutawala akili kubwa

Kweli akili yako ndogo kama unavyosema, kilichopo juu kinaweza kuanguka na sio lazima kianguke kama akili yako inavyojidanganya,
Urusi iko chini sasa ianguke kwenda wapi? Akili ndogo buana!!
 
Last edited by a moderator:
marekani haianguki mapema, ila uchina atampita mmarekani na hampati tene. katikq issue ya yuan and yen, china ame stable yuan yake ili akija kuipandisha iwe abruptly. suala la cheap labor linamnufuaisha sana china. pia hata india atakuja mpita US kama sera yake ya population ataisimamia kama china alivofanya. one child in one family.
 
Kweli akili yako ndogo kama unavyosema, kilichopo juu kinaweza kuanguka na sio lazima kianguke kama akili yako inavyojidanganya,
Urusi iko chini sasa ianguke kwenda wapi? Akili ndogo buana!!

Ahahahahahha, unajipinga mwenyewe mkuu. Akili ndogo hiyo. Urusi iko chini haiwezi kuanguka. Kilichopo juu ndo kinaweza kuanguka. USA umeshasema iko juu, kwa hiyo ndo inaweza kuanguka. Shida nini hapo?........LOL Hata hilo unashindwa ku reason out? ahahahahha. Kuwa na amani mkuu husiogope
 
Juzi wakati Rais Obama alipotembelea Ulaya, aliwapa NATO $ 1 Bil kuwasaidia kwa ajili ya kupambana na ISIS. Hiyo pekee ni message kuwa Marekani wako vizuri kipesa. Hata hivyo nchi kama China na Ujerumani zinafuatia katika kuwa na chumi zenye nguvu. Viwanda vingi vilivyo nchi kama China, Mexico, Malaysia, Singapore n.k ni mali ya hawa Waamerika kwa sababu ya cheap labor. Mkakati wa China ni mkubwa sana maana nchi inawasaidia raia wake kwenye suala zima la uchumi. Wanataka ktk miaka michache ijayo wawe na zaidi ya millionaires milioni kadhaa katika taifa lao.
 
Juzi wakati Rais Obama alipotembelea Ulaya, aliwapa NATO $ 1 Bil kuwasaidia kwa ajili ya kupambana na ISIS. Hiyo pekee ni message kuwa Marekani wako vizuri kipesa. Hata hivyo nchi kama China na Ujerumani zinafuatia katika kuwa na chumi zenye nguvu. Viwanda vingi vilivyo nchi kama China, Mexico, Malaysia, Singapore n.k ni mali ya hawa Waamerika kwa sababu ya cheap labor. Mkakati wa China ni mkubwa sana maana nchi inawasaidia raia wake kwenye suala zima la uchumi. Wanataka ktk miaka michache ijayo wawe na zaidi ya millionaires milioni kadhaa katika taifa lao.

They had been printing money all the time.
 
Back
Top Bottom