kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,732
- 13,211
Hong Kong panamaendeleo tayari ,unaonaje yanayotokea n.k,hivyo sikweli tuamini ktk uchuro huo kwamba baada ya vitu ndipo tudai.nadhan hapa inayolindwa ni ccm sio RAIA wema tzTanzania Tunafuata Tanzanian Democracy model ambayo ni part of African Democracy.
Swali la msingi ni Watanzania wanataka nini kati ya demokrasia na maendeleo?. Watanzania wanataka maendeleo, na maendeleo hayana chama, hivyo rais Magufuli analeta maendeleo kupitia mwelekeo wa chama kimoja, kazi imeanza leo kwenye huu uchaguzi wa serikali za mitaa na kukamilika mwakani katika uchaguzi Mkuu kwa Tanzania kurejea kuwa nchi ya chama kimoja, tukiisha pata maendeleo ndipo tutaigeukia demokrasia.
P