Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,412
- 36,566
Ni mawazo yangu tuHapa unachochea vurugu zaidi.
Ni mawazo yangu tuHapa unachochea vurugu zaidi.
Endeleeni tu na harakati mwisho wa siku msije laumu wanaochapa kazi.Acha upuuzi wewe huwezi kufundisha watu kufanya kazi kwa sababu kazi ndio msingi wa maisha na watu wanaishi kwa maana wanafanya kazi. Hizo propaganda zenu za "hapa kazi tu" pelekeni chato huko.
Kwa tafsiri yako,maana kila mtu anamtazamo wake na hatuwezi kuwa na mtazamo mmojaHapa unachochea vurugu zaidi.
Yu!Aman iwe nanyi wakuu
Rais wangu, msukuma mwenzangu naomba kuku uliza, kama wewe huna mda wa kujibu bas naomba wana ccm wenzio wakujibie
Iv ngosha ukiruhusu tu wafanye siasa wewe utapungukiwa kitu gan?
Ivi ukiruhusu kila mmoja akukosoe anavyotaka wewe utapungukiwa kitu gan?
Ivi unamjua jamaa mmoja anaitwa kiranga wa jf? Huyu jamaa ni mkosoaji mkubwa sana wa mwenyezi MUNGU lakin MWENYEZI MUNGU hajamfanya chochote na mpaka leo anadunda tu, sasa iweje wewe msukuma mmoja tu hutaki kukosolewa una shida gan aisee?
Ivi ukikemea mauaji na mautekaji yote yanayoendelea nchin utapumgukiwa kitu gan aisee
Kwanini unakuwa na roho ya kinyama namna hiyo?
Haipendezi ndugu
Kama washauli wako wanakudanganya kwamba huku mitaani unapendwa kisa tu unanunua ndege bas unajidanganya, na kama washauri wako wanakwambia kwamba unapendwa sana huku mtaani kisa unajenga maturen ya umeme bas unadanganywa mzee
Huku mtaan wana hasira sana na wewe mzee huo ndo ukweli
Siku ukipita mitaan peke yako watu watakugawana nyama, sikutishi lakin huo ndo ukweli msukuma mwenzangu
Nimemaliza usiponisikiliza mpaka mimi msukuma mwenzako ambaye hata hunijui bas pole yako
Namara unene
Mwabheja gete gete
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Aman iwe nanyi wakuu
Rais wangu, msukuma mwenzangu naomba kuku uliza, kama wewe huna mda wa kujibu bas naomba wana ccm wenzio wakujibie
Iv ngosha ukiruhusu tu wafanye siasa wewe utapungukiwa kitu gan?
Ivi ukiruhusu kila mmoja akukosoe anavyotaka wewe utapungukiwa kitu gan?
Ivi unamjua jamaa mmoja anaitwa kiranga wa jf? Huyu jamaa ni mkosoaji mkubwa sana wa mwenyezi MUNGU lakin MWENYEZI MUNGU hajamfanya chochote na mpaka leo anadunda tu, sasa iweje wewe msukuma mmoja tu hutaki kukosolewa una shida gan aisee?
Ivi ukikemea mauaji na mautekaji yote yanayoendelea nchin utapumgukiwa kitu gan aisee
Kwanini unakuwa na roho ya kinyama namna hiyo?
Haipendezi ndugu
Kama washauli wako wanakudanganya kwamba huku mitaani unapendwa kisa tu unanunua ndege bas unajidanganya, na kama washauri wako wanakwambia kwamba unapendwa sana huku mtaani kisa unajenga maturen ya umeme bas unadanganywa mzee
Huku mtaan wana hasira sana na wewe mzee huo ndo ukweli
Siku ukipita mitaan peke yako watu watakugawana nyama, sikutishi lakin huo ndo ukweli msukuma mwenzangu
Nimemaliza usiponisikiliza mpaka mimi msukuma mwenzako ambaye hata hunijui bas pole yako
Namara unene
Mwabheja gete gete
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app