Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,799
- 71,220
Pascal nani kakuambia watanzania wanataka maendeleo hawataki demokrasia? Vyama vingi vyenye demokrasia ya kujadili mambo ndiyo vinatakiwa na Watanzania ili kujiletea maendeleo.
Ona baada ya Mwalimu kukabidhi madaraka kwa Mwinyi na kuruhusu vyama vingi njia ya kupingana kwa namna ile ya kuzalisha vijana kama Macghee, Kaptein Komando, Kaptein Hanspope au wazee kama Kamaliza, Bibi Titi, Kambona nk imepotea imekuwa ya kutangaza Sera, kupinga na hata ikibidi kukebehi na kushangilia majanga ya mwenzako (mfano kukamatiwa ndege, kunyimwa msaada) nk
Ona baada ya Mwalimu kukabidhi madaraka kwa Mwinyi na kuruhusu vyama vingi njia ya kupingana kwa namna ile ya kuzalisha vijana kama Macghee, Kaptein Komando, Kaptein Hanspope au wazee kama Kamaliza, Bibi Titi, Kambona nk imepotea imekuwa ya kutangaza Sera, kupinga na hata ikibidi kukebehi na kushangilia majanga ya mwenzako (mfano kukamatiwa ndege, kunyimwa msaada) nk