converterr
JF-Expert Member
- Jan 28, 2023
- 294
- 590
sema wazee wengi Sasa hivi niwahovyo sana.sasa huyo miaka 40 hajaona nini Hadi ahangaike na xx? mizee mingine ya hovyo ipo humu ikiongozwa na bujibuji na ushmeni.yani hawa tunajadili upumbavu wamzee mwenzao wao wanarushiana xx pm☹️☹️☹️ninge kuwa melo hawa wajingaaaa..☹️