Kuajiriwa vs kujiajiri, Kipi bora kwako?

Hapo hauna haja ya kufungua biashara ukishaanza kuwaza majambazi cjui biashara imeyumba, umesahau hata kazi yko iyo ujui kesho yko itakuwaje, c bora iyumbe ukajifunza kitu baadae ukisimama uendelee na safari, au ndo nyie mtakaojifunza biashara kw ela za pensheni, naamin kw mtu aliehamua kuacha kazi na kujiajir Kama yuko serous akawa ana heshimu mda, ela na anakuepo mda wote kwenye biashara anatoboa, hata mh rais alikimbia ualimu akaingia kwenye siasa Leo hii ndo rais wetu, mweny nia anatoboa,changamoto zipo hata kwenye ajira wanasubir mshahara mwisho wa mwezi.
[/QUOTE/]mhh ni sawa But hauwezi escape risk za biashara katika kipindi chote cha kwanza ....it might show you money ipovipi lazma tu utakutana na barriers ... then unaeza pia ukaajiriwa na ukawa na biashara zingine kando ...maisha ni mipango tu boss.
 
Yani ukiajiriwa mshahara unaweza ukawa constantly hata miaka 20, ila kwa mtu aliye jiajir, anakomaa kuongeza profit kila siku.
Inategemea na kichwa cha mtu ... ubunifu katika maisha ndo hupelekea mtu kutoboa...unaeza ukaajiriwa na ukafanya saving kubwa tu na ukawa na maisha stahiki so usikariri.
 
Kujiajiri ndiyo mpango mzima kwa kipindi maana itakufanya kuwa huru yani "financial freedom " mbali na kuwa huru kifedha pia kujiajiri kunakusadia kufanya kazi katika mawanda na weledi unaoutaka n.k

Hivyo basi katika karne hii bora ujiajiri kuliko kuajiriwa ila kwa wale wanaotaka sifa waonekane wanakaa kwenye viti vya kuzunguka tafuta ajira ila aliejiajiri anapata mkwanja mrefu sana.
Kila mtu kujiajiri iliwezekana wakati wa ujima tu.

Uchumi wa sasa lazima kuwe na waajiri wachache na waajiriwa wengi.

Shughuli gani ya maana binadamu anaweza kufanya yeye mwenyewe bila kuajiri wengine? Hao nao wakisema wajiajiri nani atamwajiri mwenzie?

Kila mtu akiwaza kujiajiri, nani atakuwa mwajiriwa? Au tunaungumzia kujiajiri kwenye vibustani vyetu?
 
Kila mtu kujiajiri iliwezekana wakati wa ujima tu.

Uchumi wa sasa lazima kuwe na waajiri wachache na waajiriwa wengi.

Shughuli gani ya maana binadamu anaweza kufanya yeye mwenyewe bila kuajiri wengine? Hao nao wakisema wajiajiri nani atamwajiri mwenzie?

Kila mtu akiwaza kujiajiri, nani atakuwa mwajiriwa? Au tunaungumzia kujiajiri kwenye vibustani vyetu?
Issue ni masalah ,

Hata Ronaldo ameajiriwa ila ana maslah mazuri. Kibongo bongo Kuna fursa nyingi za watu wengi kujiajiri maana almost sector zote hazijawa saturated kuanzia ufugaji, kiliko, IT, tourism, construction n.k
 
Mm naamin kuna baadhi ya ajira znawapa wafanyakazi wke mda na ktk suala zima la maisha mda ndo kitu cha msingi,kwsbb ukikosa mtaji na una mda na uhuru unaweza ukatafuta kibarua na kupata mtaji wko, kwhyo hapa kuna baadhi ya ajira ambazo ina mpa mtu fursa ya kuweza kusimamia mambo yke, Kama anweza akafanya kazi masaa 6 kw cku mpk kesho yke, uyu kidogo tunaweza kusema anafac.
 
Ajira tamu chache sana.. Nyingi ajira uchwara tu za kukufanya uishi kwa stress!!

Huku kwenye kujisimamia kuna raha yake, niliacha kazi 3yes ago na hakuna ninachojutia... Biashara zimekuwa na nimeajiri vijana pia!!
Very good, ulikuw sekta gani unipe hata mawili matatu ya changamoto ulizo kutananazo
 
Kama nilivyoeleza mkuu kama hali ikiruhusu ipo siku nitajikuta nakuwa fully self employed. Muda wa kusimamia kazi zangu napata kutokana na aina ya biashara ninazofanya, watu niliowaweka na pia management systems nilizoweka katika kila biashara husika.

Kuhusu ufanisi wa kufanya kazi mbili naona ni kawaida tu kwa sababu naiona, naisimamia na kuichukulia kazi yangu ya kuajiriwa kama aina mojawapo ya biashara zangu. Nikimaanisha kwa vile inanipa riziki na exposure kama ilivyo kwa biashara zangu binafsi, naichukulia kama aina fulani ya sehemu mojawapo ya kuwajibika. Mfano kama nina biashara zangu tatu za binafsi kazi yangu ya kuajiriwa naihesabu kama eneo langu la nne la kunipa riziki kama ilivyo kwa mtu aliyejiajiri jumla kwa kuwa na biashara nne tofauti. Sijui kama nimeeleweka vizuri mkuu?
Kama ajira yko haijakubana na upo karibu na biashara zko ww endelea kutumikishwa usiache, kuna ajira zingine zinabana wafanyakazi hata mda hawapati lkn kinachoingia mwisho wa mwezi kiduchu, na hicho ndo kinapelekea mtu anachukia ajira,mda mwingi maslahi kidogo
 
Back
Top Bottom