MICHAEL J.KUNAMBI
Member
- Feb 2, 2015
- 26
- 15
Kijana wa PCM amechaguliwa mechatronic engineering DMI na ATC. Pia amechaguliwa mechanical engineering MUST
1. Je kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa kuajiriwa au kujiajiri?
2. Kati ya DMI na ATC, kipi ni chuo kizuri kwa kusoma bachelor degree ya mechatronic engineering?
1. Je kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa kuajiriwa au kujiajiri?
2. Kati ya DMI na ATC, kipi ni chuo kizuri kwa kusoma bachelor degree ya mechatronic engineering?