Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
Pro. Lipumba ndio anatoa salamu za rambirarambi na taarifa nilizonazo atafuatiwa na Kamanda Mbowe alafu nimeshindwa kuelewa hii protocall kuwa Mwigulu na yeye amepewa nafasi ya kutoa salamu za rambirambi, Watu wametulia huzuni imetawala