Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Mbatia kaipa serikali vidonge vyake juu ya maisha ya watu wasio na hatia yanayopotea kila kukicha. R.I.P dr.Sengondo Mvungi.

Mbatia ni part ya Magamba!Ameteuliwa na Rais,sio mpinzani
 
Jamani katika wote namounea huruma JAJI WARIOBA. Ameishiwa nguvu mzee wa watu. Nackia alipopata habari aliangua kilio cha kisukuma!
 
Namuona Mzee machache pia ana sura ya huzuni rip daktari
 
Mvungi atakumbukwa kwa katiba mpya. Yafaa tumuenzi kwa mambo yafuatayo
1.0 Waziri kutokuwa mbunge,
2.0 Viti maalumu kutokuwepo,
3.0 Kupunguza baraza la mawaziri
4.0 Viongozi wote waliwahi kushika nafasi basi wasiishi nje ya nchi baada ya ukomo wa uongozi wao
5.0 Serikali ihakikishe katika kila rasilimali ya ardhi basi inamiliki japo 20% ikiwemo gesi na madini.

Aisee! I can see a gap, nani atayafafanua haya wakati bunge maalum la katiba litakapokaa ili aliyekuwa anasukuma agenda hizi keshatutoka?
 
Ni ngumu kuamini kama nchi hii ina mtu anaitwa makamu wa Rais!
 
Kupitia kituo cha Television cha ITV, kazi ya kuagwa kwa gwiji la Sheria na Siasa ndo imeanza muda huu. Tufuatilie...

Fare thee well my Dr. nilitamani niwepo viwanja vya karimjee kukuaga but mvua imenikatili kukuaga na Tanesco wamenikatili muda huu kukuagia ITV, damn
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!!
sitamani hata kuona inaumiza saaaaaaaaana.
 
Bangoo, wanafunua Jeneza ili kuuaga mwili wa marehemu
 
Last edited by a moderator:
So sad news!!!RIP. mwalimu wangu!! Damu yako haitapotea bure.These crooks gonna pay it through their noses.!
 
Tazama,tazama,Mungu ndie anenisaidia,tazama,tazama,Mungu ndie anaeitegemeza nafsi yangu.!ni wimbo wa majonzi unaoendelea kuimbwa hapa kusindikiza waombolezaji wanaoendelea kutoa heshima za mwisho kuaga mwili wa dr.Mvungi. Inasikitisha sana.
 
Kupitia kituo cha Television cha ITV, kazi ya kuagwa kwa gwiji la Sheria na Siasa ndo imeanza muda huu. Tufuatilie...

Fare thee well my Dr. nilitamani niwepo viwanja vya karimjee kukuaga but mvua imenikatili kukuaga na Tanesco wamenikatili muda huu kukuagia ITV, damn
 
Namwona Mwigulu Nchemba naye yumo

Tena ameenda kuaga mwili wa marehemu kwa kusujudu kumbe huyu jamaa anaamini mungu yupo kwa ajili yetu sisi wanadamu?
Laaaah yaani cjaamimi macho yangu kwa kitendo kile hakifanani kabisa na matendo ya Nchemba
 
Back
Top Bottom