The rise of Tanzanian Mafia,

The rise of Tanzanian Mafia,

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
2,785
Reaction score
8,620
Mafia ni jina na genge la kihalifu lililoanzia Katika mji wa Sicily nchini Italy na baadhi kuhamia Marekani,likasambaa nchi jirani ya Marekani na Hadi likaingia katika nchi za Amerika ya Kusini,na hatimae Dunia nzima.

Uhalifu mkubwa wa Mafia ulikua ni ujambazi,uporaji,biashara haramu,kamali,madawa ya kulevya,Utekaji,biashara ya silaha,umalaya n.k.

Urusi Nako liliibuka genge mfano wa hili
Likaitwa Russian Mafia.
Huko Urusi wakati wa USSR kulikua Kuna shirika la ujasusi hatari sana Kwa Ubabe na uwezo wake mkubwa wa kijasusi,lilikua nintishio USSR nzima na duniani kote,shirika hili liliitwa KGB

USSR ilipovunjika KGB ilivunjwa kwa sababu lilikua linahudumia USSR nzima ,majimbo yaliyojitenga nayo yakaunda mashirika Yao ya ujasusi.
Russia ikaunda shirika lake jipya ambalo lipo Hadi Leo linaitwa FSB.
Ilipovunjwq KGB,ili kuunda FSB, Urusi ilwaacha baadhi ya majasusi wake ,askari na wafanyakazi iliyoona haiwahitaji,wengine waliacha kwa hiari zao na wengine kufukuzwa Kwa utovu wa nidhamu ama kutohitajika kwa huduma zao.

Hawa wote walioachwa wakajikuta kwa nyakati tofauti na Kwa sababu tofauti wakawa wanaendesha maisha Yao kwa njia za kimagendo na kihalifu,kwa kufanya biashara za magendo,uhalifu,uatapeli na udanganyifu,Utekaji,wizi na dhuluma.
Na hapo ndio ukawa mwanzo wa KUZALIWA kwa Russian Mafia
Magenge haya ya kihalifu yapo Urusi Hadi Leo na yanajukikana hivyo,Russian Mafia.

1995 -2005
Umoja wa Vijana wa chama Cha zamani walishiriki kuiba kura za wagombea wa vyama vya upinzani ktk chaguzi za marudio na Uchaguzi Mkuu.
Waliiba maboxi ya kura vituoni na kuweka kura zilizopigwa, waliwapiga wasimamaizi wa wagombea wa upinzani.
Watu wao walitangazwa washindi.

2005 -2015
Kilianzishwa kikundi kiliitwa Green Guard,wizi wa kura uliendelea kwa nguvu zaidi,kitaalamu zaidi.
Waandishi wa habari walipigwa,wengine waliuwawa,mfano Mwangosi,wanaSiasa machachari waliuwawa,mfano Alfonce Mawazo, wapinzani kupigwa,kuchinjwa na misumeno ya moto,mikutano ya wapinzani ilishambuliwa kwa milipuko na Kila aina ya vurugu.
Wakosoaji walianza kuteswa na kutekwa mfano Dokta mmoja.

2015-2020
Umoja wa Vijana na Green Guard wakapotea likaja genge pasua kichwa Wasiojukikana.
Inawezekana ndani ya wasiojukikana yamo makundi mawili hapo juu.
Hapa ndio Kuna shughuli pevu.
Watu walitekwa ,walipigwa,waliouliwa walilawitiwa,walipotezwa na wengine kuuwawa.
wafanyabiashara,wasanii wa hip-hop na wanaSiasa walitekwa na kupotezwa,mfano,Mo,Roma ,mkatoliki,Ben Saa8,Lissu n.k.

2020-2026
Wasiojulikana katika sura ya Muungano.
Hapa wasiojulikana wa pande zote wameungana.
Genge hili limenda mbele Zaidi,kutoka kuwashughulikia wapinzani,Sasa linawashughulikia wapinzani na wenzao walioasi.
Genge hili limekua zaidi Sasa limekua la ki
Muungano Zaidi.
Sio TU Muungano wa pande mbili ,Bali Muungano wa kikanda.
Wasiojulikana waliofanya kazi ya kuua waandamanaji ni Muungano wa kikanda,maana inasemekana wengine waliingia kutoka Kwa majirani.

2027 na kuendelea

Tanzanian Mafia inaenda KUZALIWA.

Hili genge litakua la kisasi,Upigaji Hela na kujilinda.

Hili genge litaenda kushambulia hata wafadhirii wake wa zamani.
Muda utafika wafadhiri wa genge hili watabanwa walifikishe kwenye mikono ya Sheria,wengine watataka kuwapoteza memba wa genge hili kwa sababu za kuficha ushahidi,wengine watasakamwa na Sheria,basi nalo genge lita jitenga na wafadhiri na kuanza kuwafichua wafadhiri na maovu Yao,kitakachotokea itatokea vita ya wenyewe Kwa wenyewe kati ya wafadhili na magenge, sehemu kubwa ikiwa ni wafadhi na vigenge vipya kuwasaka genge la zamani ili kuwapoteza kwa Nia ya kuficha kupoteza ushahidi na kuficha Siri.
Genge la zamani watanzisha mbinu za kujihami kwa kuogopa kupotezwa ama kushitakiwa, nao watataka kuwa poteza wafadhiri.

Utatokea Utekaji na maafa kwa familia za wafadhili kama sehemu ya kisasi kwa wale watakao wataja viongozi wa genge la wasiojulikana.

Genge litaanza Utekaji wa wapendwa wa wanafamilia wa baadhi ya wafadhili na matajiri,ili kujipatia vioato.

Baadhi watahitaji malipo ili kuwaachilia wapendwa wa familia za wafadhiri,

wataombwa walipwe mamilioni ya Hela ili kuwaachia wapendwa wa wafadhili,

wengine watapewa masharti ukinitaja naua mwanafamilia wako popote alipo ndani au Nje ya nchi,

wengine wataua wanafamilia wa wafadhiri wao wa zamani kwa sababu baba zao au ndugu zao wamefungwa au wanatafutwa wafungwe.

Hili genge litaenda kuwashughulikia watu wote pamoja na wafadhili wake wa wakati huo na wa zamani,kwa sababu tofauti.

Hivyo itakua ni genge la kulipa kisasi,kujilinda na kupiga Hela.
Genge hili litakua out of control ya wafadhili na mwisho wa siku ndio itakua kuzaliwa kwa TANZANIAN MAFIA.

Hatua stahiki zisipochukukiwa Sasa mbele tutaenda kuyashuhudia haya.
 
Mafia ni jina na genge la kihalifu lililoanzia Katika mji wa Sicily nchini Italy na baadhi kuhamia Marekani,likasambaa nchi jirani ya Marekani na Hadi likaingia katika nchi za Amerika ya Kusini,na hatimae Dunia nzima.

Uhalifu mkubwa wa Mafia ulikua ni ujambazi,uporaji,biashara haramu,kamali,madawa ya kulevya,Utekaji,biashara ya silaha,umalaya n.k.

Urusi Nako liliibuka genge mfano wa hili
Likaitwa Russian Mafia.
Huko Urusi wakati wa USSR kulikua Kuna shirika la ujasusi hatari sana Kwa Ubabe na uwezo wake mkubwa wa kijasusi,lilikua nintishio USSR nzima na duniani kote,shirika hili liliitwa KGB

USSR ilipovunjika KGB ilivunjwa kwa sababu lilikua linahudumia USSR nzima ,majimbo yaliyojitenga nayo yakaunda mashirika Yao ya ujasusi.
Russia ikaunda shirika lake jipya ambalo lipo Hadi Leo linaitwa FSB.
Ilipovunjwq KGB,ili kuunda FSB, Urusi ilwaacha baadhi ya majasusi wake ,askari na wafanyakazi iliyoona haiwahitaji,wengine waliacha kwa hiari zao na wengine kufukuzwa Kwa utovu wa nidhamu ama kutohitajika kwa huduma zao.

Hawa wote walioachwa wakajikuta kwa nyakati tofauti na Kwa sababu tofauti wakawa wanaendesha maisha Yao kwa njia za kimagendo na kihalifu,kwa kufanya biashara za magendo,uhalifu,uatapeli na udanganyifu,Utekaji,wizi na dhuluma.
Na hapo ndio ukawa mwanzo wa KUZALIWA kwa Russian Mafia
Magenge haya ya kihalifu yapo Urusi Hadi Leo na yanajukikana hivyo,Russian Mafia.

1995 -2005
Umoja wa Vijana wa chama Cha zamani walishiriki kuiba kura za wagombea wa vyama vya upinzani ktk chaguzi za marudio na Uchaguzi Mkuu.
Waliiba maboxi ya kura vituoni na kuweka kura zilizopigwa, waliwapiga wasimamaizi wa wagombea wa upinzani.
Watu wao walitangazwa washindi.

2005 -2015
Kilianzishwa kikundi kiliitwa Green Guard,wizi wa kura uliendelea kwa nguvu zaidi,kitaalamu zaidi.
Waandishi wa habari walipigwa,wengine waliuwawa,mfano Mwangosi,wanaSiasa machachari waliuwawa,mfano Alfonce Mawazo, wapinzani kupigwa,kuchinjwa na misumeno ya moto,mikutano ya wapinzani ilishambuliwa kwa milipuko na Kila aina ya vurugu.
Wakosoaji walianza kuteswa na kutekwa mfano Dokta mmoja.

2015-2020
Umoja wa Vijana na Green Guard wakapotea likaja genge pasua kichwa Wasiojukikana.
Inawezekana ndani ya wasiojukikana yamo makundi mawili hapo juu.
Hapa ndio Kuna shughuli pevu.
Watu walitekwa ,walipigwa,waliouliwa walilawitiwa,walipotezwa na wengine kuuwawa.
wafanyabiashara,wasanii wa hip-hop na wanaSiasa walitekwa na kupotezwa,mfano,Mo,Roma ,mkatoliki,Ben Saa8,Lissu n.k.

2020-2026
Wasiojulikana katika sura ya Muungano.
Hapa wasiojulikana wa pande zote wameungana.
Genge hili limenda mbele Zaidi,kutoka kuwashughulikia wapinzani,Sasa linawashughulikia wapinzani na wenzao walioasi.
Genge hili limekua zaidi Sasa limekua la ki
Muungano Zaidi.
Sio TU Muungano wa pande mbili ,Bali Muungano wa kikanda.
Wasiojulikana waliofanya kazi ya kuua waandamanaji ni Muungano wa kikanda,maana inasemekana wengine waliingia kutoka Kwa majirani.

2027 na kuendelea

Tanzanian Mafia inaenda KUZALIWA.

Hili genge litakua la kisasi,Upigaji Hela na kujilinda.

Hili genge litaenda kushambulia hata wafadhirii wake wa zamani.
Muda utafika wafadhiri wa genge hili watabanwa walifikishe kwenye mikono ya Sheria,wengine watataka kuwapoteza memba wa genge hili kwa sababu za kuficha ushahidi,wengine watasakamwa na Sheria,basi nalo genge lita jitenga na wafadhiri na kuanza kuwafichua wafadhiri na maovu Yao,kitakachotokea itatokea vita ya wenyewe Kwa wenyewe sehemu kubwa ikiwa ni wafadhi na vigenge vipya kiwasaka genge la zamani ili kuwapoteza,genge la zamani watanzisha mbinu za kujihami naonwatataka kuwa poteza wafadhiri.
Utatokea Utekaji na maafa kwa familia za wafadhili,baadhi watahitaji malipo ili kuwaachilia wapendwa wa familia za wafadhiri,wataombwa walipwe mamilioni ya Hela ili kuwaachia wapendwa wa wafadhili,wengine watapewa masharti ukinitaja najua mwanafamilia wako,wengine watakua wanafamilia wa wafadhiri kwa sababu baba zao au ndugu zao wamefungwa au wanatafutwa wafungwe.
Hili genge litaenda kuwashughulikia watu wote pamoja na wafadhili wake wa wakati huo na wa zamani,kwa sababu tofauti tofauti.
Hivyo itakua ni genge la kulipa kisasi,kujilinda na kupiga Hela.
Genge hili litakua out of control ya wafadhili na mwisho wa siku ndio itakua kuzaliwa kwa TANZANIAN MAFIA.
ok.🐒
 
Hatua stahiki zisipochukukiwa Sasa mbele tutaenda kuyashuhudia haya.
Naunga mkono hoja, hili limeisha anza mdogo mdogo!, yule jamaa yetu aliyeshughulikiwa ni born and breed mtandao, hakupendezwa na udhalimu uliotokea, akaamua kusimama na ukweli, akaonekana sio mwenzao, akashughulikiwa bila public kuelezwa makaso yake!, samaki wakubwa, wakiisha maliza kuvila vidagaa vyote, vikimalizika, wanaanza kukulana wao kwa wao!.

P
 
Naunga mkono hoja, hili limeisha anza mdogo mdogo!, yule jamaa yetu aliyeshughulikiwa ni born and breed mtandao, hakupendezwa na udhalimu uliotokea, akaamua kusimama na ukweli, akaonekana sio mwenzao, akashughulikiwa bila public kuelezwa makaso yake!, samaki wakubwa, wakiisha maliza kuvila vidagaa vyote, vikimalizika, wanaanza kukulana wao kwa wao!.

P
Vp kuhusu balozi mdogo aliyetoweshwa?...kosa lake lipi ambalo halifai hata kupandishwa kizimbani (kama kweli lipo)?..

Kama wanaweza kuwatenda hivi Viongozi wakubwa wa hii nchi na chama tawala kama balozi mkubwa na mdogo, vipi kuhusu raia wa kawaida?....hii ni hatari.
 
Naunga mkono hoja, hili limeisha anza mdogo mdogo!, yule jamaa yetu aliyeshughulikiwa ni born and breed mtandao, hakupendezwa na udhalimu uliotokea, akaamua kusimama na ukweli, akaonekana sio mwenzao, akashughulikiwa bila public kuelezwa makaso yake!, samaki wakubwa, wakiisha maliza kuvila vidagaa vyote, vikimalizika, wanaanza kukulana wao kwa wao!.

P
1000351371.jpg
 
Naunga mkono hoja, hili limeisha anza mdogo mdogo!, yule jamaa yetu aliyeshughulikiwa ni born and breed mtandao, hakupendezwa na udhalimu uliotokea, akaamua kusimama na ukweli, akaonekana sio mwenzao, akashughulikiwa bila public kuelezwa makaso yake!, samaki wakubwa, wakiisha maliza kuvila vidagaa vyote, vikimalizika, wanaanza kukulana wao kwa wao!.

P
Kwa namna ya post zako zilivyo nakuona kabisa nawewe ukiwa target may be u r next mkumbuke BOLO YANG NA VAN DAME!
 
Tangu muanzilishi wa "MAZOBIE" waliokuwa wakiteka na kushambulia wapinzani Unguja kuhamishwa toka Zanzibar hadi Ikulu ya Tanganyika tutaona mengi.ya Unguja mafia.
Ni muuaji mshamba mmoja toka kisiwa ambacho kuna watu hawajawahi kuona gari hata siku moja sasa kaja jijini.
 
Naunga mkono hoja, hili limeisha anza mdogo mdogo!, yule jamaa yetu aliyeshughulikiwa ni born and breed mtandao, hakupendezwa na udhalimu uliotokea, akaamua kusimama na ukweli, akaonekana sio mwenzao, akashughulikiwa bila public kuelezwa makaso yake!, samaki wakubwa, wakiisha maliza kuvila vidagaa vyote, vikimalizika, wanaanza kukulana wao kwa wao!.

P
Kaka Mkubwa uko sahihi kabisa.
Mbali ya wewe kua Mwandishi,mwanasheria lkn pia una elements za uanasaikilojia.
Nakubaliana na wewe kabisa kwa hapa,na nadhani utakubaliana na Mimi kua ushirika wowote usio wa haki mwisho wa siku hua kuna kusalitiana wenyewe kwa wenyewe?
Mfano,wachawi,majambazi,wafanya magendo,biashara haramu na aina zote za Uzandiki?
Mfano mdogo,
Ushirika wa majambazi Kuna muda huenda kufanya ujambazi kijjijini au mtaani kwa mmoja wa memba wao.
Hukubaliana kuiba bila kuumiza wala kuua,lkn jamabazi mmoja mkorofi anaumiza au kuua mwanakijiji.
Majambazi wakirudi mafichoni kwao,huanza kulaumiana Kwa kifo hicho,mwisho wa siku yanatokea mapigano ya wao kwa wao.
Na baadae inapelekea kudakwa na Polisi.
Hiki ndicho kikichotokea kwa huyo jamaa alieshughulikiwa unaemsema.
Sio kwamba ni msafi sanaaaa,kwa sbb michongo yote ya uchaguzi anaijua kitambo,lkn kitendo Cha kumwaga damu naona nafsi imemsuta.
Kumbuka huu ni uasi wa pili wa kwanza ni yule Dogo wa Vii Eite,ambae hajukikani kama Yuko duniani ama Yuko kuzimu.
Huu uasi utaendelea kidogokidogo.
Haijaisha.
 
Naunga mkono hoja, hili limeisha anza mdogo mdogo!, yule jamaa yetu aliyeshughulikiwa ni born and breed mtandao, hakupendezwa na udhalimu uliotokea, akaamua kusimama na ukweli, akaonekana sio mwenzao, akashughulikiwa bila public kuelezwa makaso yake!, samaki wakubwa, wakiisha maliza kuvila vidagaa vyote, vikimalizika, wanaanza kukulana wao kwa wao!.

P
Mkuu unafikiri tutatokaje hapa?
Imebaki kidogo TU,tunaenda kushuhudia Tanazania Mafia gangs.
Tanzania sio kisiwa,tulisaini mikataba ya kimataifa,tulishirikiana na mataifa mengine kuzisulihisha na kuzikomboa na kuzisaidia nchi nyingine katika migogoro Yao,mfano ukombozi wa southern Africa,vita vya Congo na makundi ya M23,Sudan Kusini,N.k hivyo na mataifa yatataka kuja kutusulihisha,na Suluhu za kimataifa Kwa KESI yetu Kuna uwanibikaji.
Kumbuka utakuja muda kwa Matatizo haya ya Leo ni lazima kama Taifa Vyombo vya haki vya kimataifa vitatinga nchini,Kuna watu watasimamishwa vizimbani.
Je?
Hakuta kuja tokea Ile falasafa ya Yona( au akina Yona )atoswe ili Chombo kisizame.
Je akina Yona watakubali kutoswa ilhali wao walikua wanapokea amri TU toka juu?
Naona hapa ndipo chimbuko la Umafia litakapoanzia
 
Mafia ni jina na genge la kihalifu lililoanzia Katika mji wa Sicily nchini Italy na baadhi kuhamia Marekani,likasambaa nchi jirani ya Marekani na Hadi likaingia katika nchi za Amerika ya Kusini,na hatimae Dunia nzima.

Uhalifu mkubwa wa Mafia ulikua ni ujambazi,uporaji,biashara haramu,kamali,madawa ya kulevya,Utekaji,biashara ya silaha,umalaya n.k.

Urusi Nako liliibuka genge mfano wa hili
Likaitwa Russian Mafia.
Huko Urusi wakati wa USSR kulikua Kuna shirika la ujasusi hatari sana Kwa Ubabe na uwezo wake mkubwa wa kijasusi,lilikua nintishio USSR nzima na duniani kote,shirika hili liliitwa KGB

USSR ilipovunjika KGB ilivunjwa kwa sababu lilikua linahudumia USSR nzima ,majimbo yaliyojitenga nayo yakaunda mashirika Yao ya ujasusi.
Russia ikaunda shirika lake jipya ambalo lipo Hadi Leo linaitwa FSB.
Ilipovunjwq KGB,ili kuunda FSB, Urusi ilwaacha baadhi ya majasusi wake ,askari na wafanyakazi iliyoona haiwahitaji,wengine waliacha kwa hiari zao na wengine kufukuzwa Kwa utovu wa nidhamu ama kutohitajika kwa huduma zao.

Hawa wote walioachwa wakajikuta kwa nyakati tofauti na Kwa sababu tofauti wakawa wanaendesha maisha Yao kwa njia za kimagendo na kihalifu,kwa kufanya biashara za magendo,uhalifu,uatapeli na udanganyifu,Utekaji,wizi na dhuluma.
Na hapo ndio ukawa mwanzo wa KUZALIWA kwa Russian Mafia
Magenge haya ya kihalifu yapo Urusi Hadi Leo na yanajukikana hivyo,Russian Mafia.

1995 -2005
Umoja wa Vijana wa chama Cha zamani walishiriki kuiba kura za wagombea wa vyama vya upinzani ktk chaguzi za marudio na Uchaguzi Mkuu.
Waliiba maboxi ya kura vituoni na kuweka kura zilizopigwa, waliwapiga wasimamaizi wa wagombea wa upinzani.
Watu wao walitangazwa washindi.

2005 -2015
Kilianzishwa kikundi kiliitwa Green Guard,wizi wa kura uliendelea kwa nguvu zaidi,kitaalamu zaidi.
Waandishi wa habari walipigwa,wengine waliuwawa,mfano Mwangosi,wanaSiasa machachari waliuwawa,mfano Alfonce Mawazo, wapinzani kupigwa,kuchinjwa na misumeno ya moto,mikutano ya wapinzani ilishambuliwa kwa milipuko na Kila aina ya vurugu.
Wakosoaji walianza kuteswa na kutekwa mfano Dokta mmoja.

2015-2020
Umoja wa Vijana na Green Guard wakapotea likaja genge pasua kichwa Wasiojukikana.
Inawezekana ndani ya wasiojukikana yamo makundi mawili hapo juu.
Hapa ndio Kuna shughuli pevu.
Watu walitekwa ,walipigwa,waliouliwa walilawitiwa,walipotezwa na wengine kuuwawa.
wafanyabiashara,wasanii wa hip-hop na wanaSiasa walitekwa na kupotezwa,mfano,Mo,Roma ,mkatoliki,Ben Saa8,Lissu n.k.

2020-2026
Wasiojulikana katika sura ya Muungano.
Hapa wasiojulikana wa pande zote wameungana.
Genge hili limenda mbele Zaidi,kutoka kuwashughulikia wapinzani,Sasa linawashughulikia wapinzani na wenzao walioasi.
Genge hili limekua zaidi Sasa limekua la ki
Muungano Zaidi.
Sio TU Muungano wa pande mbili ,Bali Muungano wa kikanda.
Wasiojulikana waliofanya kazi ya kuua waandamanaji ni Muungano wa kikanda,maana inasemekana wengine waliingia kutoka Kwa majirani.

2027 na kuendelea

Tanzanian Mafia inaenda KUZALIWA.

Hili genge litakua la kisasi,Upigaji Hela na kujilinda.

Hili genge litaenda kushambulia hata wafadhirii wake wa zamani.
Muda utafika wafadhiri wa genge hili watabanwa walifikishe kwenye mikono ya Sheria,wengine watataka kuwapoteza memba wa genge hili kwa sababu za kuficha ushahidi,wengine watasakamwa na Sheria,basi nalo genge lita jitenga na wafadhiri na kuanza kuwafichua wafadhiri na maovu Yao,kitakachotokea itatokea vita ya wenyewe Kwa wenyewe kati ya wafadhili na magenge, sehemu kubwa ikiwa ni wafadhi na vigenge vipya kuwasaka genge la zamani ili kuwapoteza kwa Nia ya kuficha kupoteza ushahidi na kuficha Siri.
Genge la zamani watanzisha mbinu za kujihami kwa kuogopa kupotezwa ama kushitakiwa, nao watataka kuwa poteza wafadhiri.

Utatokea Utekaji na maafa kwa familia za wafadhili kama sehemu ya kisasi kwa wale watakao wataja viongozi wa genge la wasiojulikana.

Genge litaanza Utekaji wa wapendwa wa wanafamilia wa baadhi ya wafadhili na matajiri,ili kujipatia vioato.

Baadhi watahitaji malipo ili kuwaachilia wapendwa wa familia za wafadhiri,

wataombwa walipwe mamilioni ya Hela ili kuwaachia wapendwa wa wafadhili,

wengine watapewa masharti ukinitaja naua mwanafamilia wako popote alipo ndani au Nje ya nchi,

wengine wataua wanafamilia wa wafadhiri wao wa zamani kwa sababu baba zao au ndugu zao wamefungwa au wanatafutwa wafungwe.

Hili genge litaenda kuwashughulikia watu wote pamoja na wafadhili wake wa wakati huo na wa zamani,kwa sababu tofauti.

Hivyo itakua ni genge la kulipa kisasi,kujilinda na kupiga Hela.
Genge hili litakua out of control ya wafadhili na mwisho wa siku ndio itakua kuzaliwa kwa TANZANIAN MAFIA.

Hatua stahiki zisipochukukiwa Sasa mbele tutaenda kuyashuhudia haya.
Thlaahthlaa na Lucas Mwashambwa inasemwa wamo.
 
Back
Top Bottom