Kuacha kazi serikalini

van penga

Member
Feb 24, 2013
74
4
habari wadau....nauliza wataalamu hivi ni kweli kisheria ukiacha kazi serikalini hutaajiriwa tena serikalini?? mazingira hapa yakoje...ntashukuru kwa majibu yenu
 
Hapana notakupa mfano mdgo angalia wakurugenzi km Blandina Nyoni na David Mataka hawa wote "waliachishwa" kazi serikalini lakin wakaajiriwa tena.. Mataka alianza PPF akaja ATC na nyoni alianza Ministry of Health akaja TRA km skosei.
 
Idunda mimi nimetoa mfano hai ww unanena maneno matupu tupe sheria ya kuthibitisha maneno ulichosema
 
Hakuna kitu kama hicho!Mimi niliacha nanikaomba tena serikalini nikapata.Labda waanze leo huo utaratibu.
 
mzee, hauajiriwi tena ukiacha kazi, achilia mbali hizo post za juu, hizi za watu wa chini, hao tume ya ajira wanayo database kama uliacha wakakuweka x ukiapply tena baadaye unaonekana kuwa wewe ni wa kupata kazi na kuachaacha hivyo watafikiriwa wenzio. hivyo ndivyo nilivyosikia, wenye uhakika zaidi mtujuze. hata hivyo, kwanini uache, tumikia taifa kijana jenga taifa lako.

kaka bado naendelea kutumikia taifa hili, naacha hii ili nkafanye nyingine ya serikali hii hii
 
habari wadau....nauliza wataalamu hivi ni kweli kisheria ukiacha kazi serikalini hutaajiriwa tena serikalini?? mazingira hapa yakoje...ntashukuru kwa majibu yenu

Ukiacha kwa mazingira yepi? Manake kuna kuacha kwa hiari na kutoa notisi kwa mwajiri katika muda unaotakiwa, kuna kuacha kwa kuingia tu mitini bila taarifa yoyote, na kadhalika.

Sasa wewe unazungumzia kuacha kwa aina ipi?
 
mke wng aliacha kwa kuingia mitini na baadae akarudi, wamemuajiri tena!
 
Hakuna kitu kama hicho!Mimi niliacha nanikaomba tena serikalini nikapata.Labda waanze leo huo utaratibu.

Uliacha lini na umerudi lini...maana wanasema kuanzia mwaka jana ndo yameanza kuwa magumu
Ingawa me nna jamaa yangu aliacha 2011 mwaka jana karudi tena
 
Mimi pia niliambiwa na afisa utumishi mmoja kuwa kwasasa data base zipo pouwa nakuanzia mwaka jana ukiacha kazi ndio kwa heri kwa serikali ..thou cna valid report
 
Mimi pia niliambiwa na afisa utumishi mmoja kuwa kwasasa data base zipo pouwa nakuanzia mwaka jana ukiacha kazi ndio kwa heri kwa serikali ..thou cna valid report

Ukiacha kazi serikalini ( Central&Local + paraGovernment Organisations) kwa sasa ni ngumu. Lakini corporation za serikali kama NHC,PSPF, NSSF, TPA na wengine wanaozalisha, na mishahara yao haitoki hazina ukiacha ukaenda huko, ukaacha ukaenda huko kwingine utapata, vinginevyo ni ngumu sana kwa sasa
 
Serikali kuu au Local Government ukiacha kazi hutaruhusiwa kurudi tena. Na kama ni kurudi labda iwe ni kwa kibali maalum toka utumishi tena kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi. Kasheshe yake ni kubwa sana. Na imewekewa mkazo miaka ya karibuni.
 
Mimi pia niliambiwa na afisa utumishi mmoja kuwa kwasasa data base zipo pouwa nakuanzia mwaka jana ukiacha kazi ndio kwa heri kwa serikali ..thou cna valid report

Ni kweli kabisa. Watumishi wote wakocomputerused na data zako zote. Hasa kitu kinaitwa check number ambayo ndiyo kitambulisho chako kikuu kwa utumishi wa umma.
 
Serikali kuu au Local Government ukiacha kazi hutaruhusiwa kurudi tena. Na kama ni kurudi labda iwe ni kwa kibali maalum toka utumishi tena kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi. Kasheshe yake ni kubwa sana. Na imewekewa mkazo miaka ya karibuni.

My close friend ameacha kaz 2010 taasisi moja ya serikali na juzi ameanza kaz PSPF utaratibu wa kumkataza mtu kuajiriwa tena lazima uwe na sheria na ndio mngeiweka hapa sio maneno matupu tu!
 
My close friend ameacha kaz 2010 taasisi moja ya serikali na juzi ameanza kaz PSPF utaratibu wa kumkataza mtu kuajiriwa tena lazima uwe na sheria na ndio mngeiweka hapa sio maneno matupu tu!

Mkuu refer my earlier post nimesema ukiajiriwa serikali kuu au local government. Hizo ulizotaja ni taasisi za serikali huwa ni autonomous/independent kwa masuala mengi. Kwa maana hiyo kama umeajiriwa taasisi ya serikali ni rahisi ku move utakavyo hata kama utaenda private persee na kurudi tena it is ok. Kama utakanyaga serikali kuu na LG ukiondoka umeondoka!!! Kurudi ni utapitia taratibu ndefu na mara nyingi si rahisi!!! Utarudi tu kama ujuzi uliokuwa nao hakuna popote, which is not practicable for the time being. Anyway, details ni nyingi sana ila cha msingi elewa hivyo!!!
 
vp hiyo sheria ipo?? mm nafanyia kazi chuo kikuu cha umma vp huku vyuoni utaratbu huo?
 
Mkuu refer my earlier post nimesema ukiajiriwa serikali kuu au local government. Hizo ulizotaja ni taasisi za serikali huwa ni autonomous/independent kwa masuala mengi. Kwa maana hiyo kama umeajiriwa taasisi ya serikali ni rahisi ku move utakavyo hata kama utaenda private persee na kurudi tena it is ok. Kama utakanyaga serikali kuu na LG ukiondoka umeondoka!!! Kurudi ni utapitia taratibu ndefu na mara nyingi si rahisi!!! Utarudi tu kama ujuzi uliokuwa nao hakuna popote, which is not practicable for the time being. Anyway, details ni nyingi sana ila cha msingi elewa hivyo!!!

Sawa sisi hatuitaji details zako kila mtu ana details zake sa na yeye akisema aweke ajuavyo si itakua vurugu lakin jambo zito kama hili huwekwa au kuanzishwa na kanuni tatizo ninalo liona hapa huna hizo kanuni na sina hakika kama unazifaham (if at all zipo) hizo ndizo tunazo zihitaji sio maneno matupu tu! Umenipata mpka hapo msomi...???
 
usitolee mfano wa hao wakubwa,zungumzia sisi makabwela.Si unajua Tanzania yetu huwezi kumuiga tembo anayekunya mavi makubwa!!!
 
Back
Top Bottom