Sanamu ya Father Christmas ni mpinga Yesu Kristo

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,514
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Sikukuu ya Christmas ni sikukuu ya kukumbukwa kwa aliyekuwa mkombozi wa wanadamu yaani Yesu Kristo.

Sikukuu hii imekuwa ikiadhimishwa Kila mwaka tare 25 December Duniani.

Sikukuu ya Christmas imekuwa na maana kubwa kwa wale wanaomuamini Yesu kuwa ni mwokozi wa maisha yao.

Sikukuu hii imekuwa ikisherehekewa na familia mbalimbali Duniani kwa kukutana kwa pamoja na kula na kunywa.

Sikukuu hii huleta umoja na Upendo kwa watu hasa waliozaliwa pamoja, maana wanashirikiana na kupeana zawadi.

Ila sikukuu hii imekuwa tofauti kwani kumekuwa na Sanamu moja linalojilikana kwa 'Father Christmas', hili Sanamu limekuwa likiwekwa kwenye sehemu mbalimbali za Mall na hata Hotel.

Sanamu hii watu wengi hawajui maana yake ila huwa wanafurahia na wengine wanakuwa kama wanaitukuza.

Wakati watu wanafurahia sikukuu hii ya kuzaliwa YESU, basi na upande wa wapinga Kristo nao wanaabudu hilo Sanamu lao la Father Christmas.

Wakristo stukeni na salamu hilo, maana limekuwa likipendwa sana na watoto.

Hata wazazi wamekuwa wakiwapeleka kwenye hilo Sanamu kupiga picha.

Waambieni watoto wenu juu ya hilo Sanamu kuwa sio maana ya Christmas bali linajitukuza kubeba siku hiyo.

Watoto wadogo wanajua kuwa sikukuu ya Christmas ni huyo Father Christmas ndio sikukuu yake maana anawekwa Kila Kona.

Tunakumbushana kuwa YESU ndio alizaliwa katika siku hii na si mengine.


Bwana YESU atukuzwe


Donatila
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Sikukuu ya Christmas ni sikukuu ya kukumbukwa kwa aliyekuwa mkombozi wa wanadamu yaani Yesu Kristo.

Sikukuu hii imekuwa ikiadhimishwa Kila mwaka tare 25 December Duniani.

Sikukuu ya Christmas imekuwa na maana kubwa kwa wale wanaomuamini Yesu kuwa ni mwokozi wa maisha yao.

Sikukuu hii imekuwa ikisherehekewa na familia mbalimbali Duniani kwa kukutana kwa pamoja na kula na kunywa.

Sikukuu hii huleta umoja na Upendo kwa watu hasa waliozaliwa pamoja, maana wanashirikiana na kupeana zawadi.

Ila sikukuu hii imekuwa tofauti kwani kumekuwa na Sanamu moja linalojilikana kwa 'Father Christmas', hili Sanamu limekuwa likiwekwa kwenye sehemu mbalimbali za Mall na hata Hotel.

Sanamu hii watu wengi hawajui maana yake ila huwa wanafurahia na wengine wanakuwa kama wanaitukuza.

Wakati watu wanafurahia sikukuu hii ya kuzaliwa YESU, basi na upande wa wapinga Kristo nao wanaabudu hilo Sanamu lao la Father Christmas.

Wakristo stukeni na salamu hilo, maana limekuwa likipendwa sana na watoto.

Hata wazazi wamekuwa wakiwapeleka kwenye hilo Sanamu kupiga picha.

Waambieni watoto wenu juu ya hilo Sanamu kuwa sio maana ya Christmas bali linajitukuza kubeba siku hiyo.

Watoto wadogo wanajua kuwa sikukuu ya Christmas ni huyo Father Christmas ndio sikukuu yake maana anawekwa Kila Kona.

Tunakumbushana kuwa YESU ndio alizaliwa katika siku hii na si mengine.


Bwana YESU atukuzwe


Donatila
Mkuu,
hiyo sikukuu yenyewe ni ya mpinga Kristo. wewe uliona wapi kuwa Yesu kazaliwa hiyo tarehe
 
Nakubaliana nawe sanamu la Fadher Christmas ni IBADA ya sanamu.

Nikuulize, wapi tuliagizwa kusherehekea Christmas tarehe 25 Dec?

Unalo andiko?
baki kwenye mada ya sanamu mkuu..

mambo ya tarehe ya noeli achana nayo wewe ni shahidi wa yehova? baki na unachokiamini sio lazima utulazimishe tofauti na unavyotaka kuhusu siku ya kuzaliwa kwa Kristu bwana wetu.


Haleluya azaliwa,,,, Amezaliwa haleluya..
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Sikukuu ya Christmas ni sikukuu ya kukumbukwa kwa aliyekuwa mkombozi wa wanadamu yaani Yesu Kristo.

Sikukuu hii imekuwa ikiadhimishwa Kila mwaka tare 25 December Duniani.

Sikukuu ya Christmas imekuwa na maana kubwa kwa wale wanaomuamini Yesu kuwa ni mwokozi wa maisha yao.

Sikukuu hii imekuwa ikisherehekewa na familia mbalimbali Duniani kwa kukutana kwa pamoja na kula na kunywa.

Sikukuu hii huleta umoja na Upendo kwa watu hasa waliozaliwa pamoja, maana wanashirikiana na kupeana zawadi.

Ila sikukuu hii imekuwa tofauti kwani kumekuwa na Sanamu moja linalojilikana kwa 'Father Christmas', hili Sanamu limekuwa likiwekwa kwenye sehemu mbalimbali za Mall na hata Hotel.

Sanamu hii watu wengi hawajui maana yake ila huwa wanafurahia na wengine wanakuwa kama wanaitukuza.

Wakati watu wanafurahia sikukuu hii ya kuzaliwa YESU, basi na upande wa wapinga Kristo nao wanaabudu hilo Sanamu lao la Father Christmas.

Wakristo stukeni na salamu hilo, maana limekuwa likipendwa sana na watoto.

Hata wazazi wamekuwa wakiwapeleka kwenye hilo Sanamu kupiga picha.

Waambieni watoto wenu juu ya hilo Sanamu kuwa sio maana ya Christmas bali linajitukuza kubeba siku hiyo.

Watoto wadogo wanajua kuwa sikukuu ya Christmas ni huyo Father Christmas ndio sikukuu yake maana anawekwa Kila Kona.

Tunakumbushana kuwa YESU ndio alizaliwa katika siku hii na si mengine.


Bwana YESU atukuzwe


Donatila

Sizani kama wewe unajua zaidi kuliko wao wanaosherekea.

Waache waamini hvyo unaenda wana maana yao
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Sikukuu ya Christmas ni sikukuu ya kukumbukwa kwa aliyekuwa mkombozi wa wanadamu yaani Yesu Kristo.

Sikukuu hii imekuwa ikiadhimishwa Kila mwaka tare 25 December Duniani.

Sikukuu ya Christmas imekuwa na maana kubwa kwa wale wanaomuamini Yesu kuwa ni mwokozi wa maisha yao.

Sikukuu hii imekuwa ikisherehekewa na familia mbalimbali Duniani kwa kukutana kwa pamoja na kula na kunywa.

Sikukuu hii huleta umoja na Upendo kwa watu hasa waliozaliwa pamoja, maana wanashirikiana na kupeana zawadi.

Ila sikukuu hii imekuwa tofauti kwani kumekuwa na Sanamu moja linalojilikana kwa 'Father Christmas', hili Sanamu limekuwa likiwekwa kwenye sehemu mbalimbali za Mall na hata Hotel.

Sanamu hii watu wengi hawajui maana yake ila huwa wanafurahia na wengine wanakuwa kama wanaitukuza.

Wakati watu wanafurahia sikukuu hii ya kuzaliwa YESU, basi na upande wa wapinga Kristo nao wanaabudu hilo Sanamu lao la Father Christmas.

Wakristo stukeni na salamu hilo, maana limekuwa likipendwa sana na watoto.

Hata wazazi wamekuwa wakiwapeleka kwenye hilo Sanamu kupiga picha.

Waambieni watoto wenu juu ya hilo Sanamu kuwa sio maana ya Christmas bali linajitukuza kubeba siku hiyo.

Watoto wadogo wanajua kuwa sikukuu ya Christmas ni huyo Father Christmas ndio sikukuu yake maana anawekwa Kila Kona.

Tunakumbushana kuwa YESU ndio alizaliwa katika siku hii na si mengine.


Bwana YESU atukuzwe


Donatila
Hujaeleza sasa, sanamu linampinga kristo kivipi?
 
Habarini Wakuu!

Naomba nipate kuongea jambo moja kuhusu chapisho hili;
Kwanza kabsa, wengi hatuelewi mipaka ya kuheshimu imani za watu, hatujuhi ni wapi tunatakiwa kufika na wapi tunatakiwa kuvuka. Hii ni kitu mbaya sana.
Anayezungumzia kuhusu siku ya kuzaliwa kwa Yesu aka Issa Bin Mariamu na Siku ya Maulid bado ana makandokando yake mengi tu.

Unamkuta jamaa mmoja Mbemba kutoka Zambia anapondea imani ya wakristo wakati yeye kijijini mwao anasherehekea sikukuu za Kuomboka, mwezi wa nane anakwenda kusheherekea Likumbi Lya Mize Ceremony pamoja na Ukusefya Pa Ngwena.

Ukienda Benin kwenye miji ya Abomey na Ouidah kuna sherehe za Ouidah Voodoo lakini bado utakutana na mtu ana mshipa wa kutukana na kuisema vibaya imani ya Muislamu.
Tuacheni kuzungumzia vibaya imani za watu jamani!

Uaminifu, upendo na heshima kwa wote ndo kanuni bora za imani njema katika dunia ya sasa. Kanuni ya imani njema ndo imekuwa darasa kubwa kutoka katika kanuni za mwanzo.

Unalalamika kuwa Krismas na sanamu ya Father Christmas vinahusu mpinga Kristo ila tarehe 25 utakwenda kula wali Kuku kwa jirani yako na wengine bado wataenda kufanya uzinzi kwa mgongo wa kusherekea. Wengine ni wafanyabiashara siku hiyo mtauza bidhaa na kutoa huduma kwa sababu tu Krismas imekuwa ni sikukuu ambayo inawaleta watu karibu.

Achana na mawazo hayo Mkuu! sema watu wakupe mawazo ya biashara ambayo utapata faida kuanzia sasa mpaka mwezi Januari 2024.
 
Mkuu,
Unategemea jibu hapo sahau, hata hiyo stori ya Father Christmas 🎅 hajui ilipoanzia.
Alishahitimisha huyo mpinga Kristo, ila kaulizwa aonyeshe wapi kaandikiwa asheherekee tarehe hiyo kimya.

😂😂tuuzwe tu kwenye mashamba ya sukari marekani.
Anapinga Father Christmas anakubali tar25 iwe Christmas wakati hivyo vyote havipo kwenye Biblia. Ana matatizo huyu.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Sikukuu ya Christmas ni sikukuu ya kukumbukwa kwa aliyekuwa mkombozi wa wanadamu yaani Yesu Kristo.

Sikukuu hii imekuwa ikiadhimishwa Kila mwaka tare 25 December Duniani.

Sikukuu ya Christmas imekuwa na maana kubwa kwa wale wanaomuamini Yesu kuwa ni mwokozi wa maisha yao.

Sikukuu hii imekuwa ikisherehekewa na familia mbalimbali Duniani kwa kukutana kwa pamoja na kula na kunywa.

Sikukuu hii huleta umoja na Upendo kwa watu hasa waliozaliwa pamoja, maana wanashirikiana na kupeana zawadi.

Ila sikukuu hii imekuwa tofauti kwani kumekuwa na Sanamu moja linalojilikana kwa 'Father Christmas', hili Sanamu limekuwa likiwekwa kwenye sehemu mbalimbali za Mall na hata Hotel.

Sanamu hii watu wengi hawajui maana yake ila huwa wanafurahia na wengine wanakuwa kama wanaitukuza.

Wakati watu wanafurahia sikukuu hii ya kuzaliwa YESU, basi na upande wa wapinga Kristo nao wanaabudu hilo Sanamu lao la Father Christmas.

Wakristo stukeni na salamu hilo, maana limekuwa likipendwa sana na watoto.

Hata wazazi wamekuwa wakiwapeleka kwenye hilo Sanamu kupiga picha.

Waambieni watoto wenu juu ya hilo Sanamu kuwa sio maana ya Christmas bali linajitukuza kubeba siku hiyo.

Watoto wadogo wanajua kuwa sikukuu ya Christmas ni huyo Father Christmas ndio sikukuu yake maana anawekwa Kila Kona.

Tunakumbushana kuwa YESU ndio alizaliwa katika siku hii na si mengine.


Bwana YESU atukuzwe


Donatila
Sanamu la Tamuzi
 
Acheni kukomplicate Maisha.. 25 December tunasheherekea kuzaliwa Kwa Yesu.. inaweza isiwe tarehe yenyewe ila kikubwa tunaamini alizaliwa na hakuna anaejua alizaliwa lini exactly maana hakuna aliekuepo wakati wa Tukio lenyewe.. badala ya kubishana alizaliwa lini kwann tusifocus na kile kilichomleta on the first place??
Mafundisho yake hata hamyazingatii mnabaki kubishana alizaliwa lini!! Ni kupoteza Muda

Father Christmas hawezi kujitukuza na kuizidi siku ya Christmas, tumshukuru Mungu kwamba Ulimwengu unashawishiwa kupitia father Christmas kuutambua uwepo wa Kristo as a marketing strategy ya ukristo duniani sababu Mungu pekee anajua ni kiasi gani tunahitaji wakristo wa Kweli Dunia nzima.. Iende mbele Injili ya Bwana, Amen!
 
Kumpinga yesu ni kufanyaje mtoa mada, na iyo katuni ya santa inauhusiano gani na kumpinga yesu. Connection iko wapi kati ya katuni ya santa na kumpinga yesu.

Tufafanulie. Kumpinga krito ni kufanyaje
 
Back
Top Bottom