- Thread starter
- #81
Ukiangalia vizuri, hata huko unakodhani una uhuru, kuna muda lazima ujiamrishe tuu wewe mwenyewe kufanya mambo flani yanayokuhusu, unajipa amri wewe mwenyewe na usipoitekeleza basi mambo yako lazima yaende kombo. Bado ni mle mle tuu kwamba kuwajibika na kutii amri yako mwenyewe (kama wanajeshi wanavyotii amri za makamanda wao) ni lazima. Hata uhuru wako una mipaka kwa hiyo ni yale yale tuu.Kitu pekee kilichonifanya kutokujiunga jeshi ni kukosa uhuru binafsi wa maisha yangu.
" You dont have you own time"
Sent using Jamii Forums mobile app