Usijari tuendelee,Ukiomba mwezi wanne hadi w mwezi wa 5 majibu yanatoka mwezi wa nane mwishoni au mwezi wa tisa mwanzoni inategemea na ratiba ya Chuo,halafu kuja chuo unakuja mwezi wa 10 chuo kinapo funguliwa,
Application za mwezi wa kumi huwa zinafanywa kwa mda wa wiki mbili au moja Na nusu kwa ajili ya walio maliza Form six na wale wwngine wa Form Four ambao hawakufanya application then baada ya wiki mbili au 3 majibu yanakuwa yametoka na unapewa mda wa wiki moja kujiandaa kuja chuo kama ukipata nafasi,automatically masomo huwa wanaanza wote kwa pamoja wale wa mwanzoni kuomba na wale wa mwshn kuomba na kama watatangulia haizidi wiki moja