Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

ukishndwa hcho bs kuna chuo kinaitwa ilembura kipo makambako kizur pia
 
,nmependa fees structure ya vyuo hapo juu,unaweza kunipatia fees structure ya vyuo vya afya vyenye nafuu,in clinical office r au laboratory health

vyuo vingi vya private ada zinaanzia mil 2 sidhani kama kuna chini ya hapo,ila vya serikali ni mil 1
 
TAFADHALI KWA ANAYEKIJUA VIZURI CHUO CHA AFYA NKINGA-IGUNGA
ANISAIDIE WASIFU WAKE.....NAHITAJI KUSOMA CERT. IN CLINICAL MEDICINE.
 
Wadau kwema?

Niko katika hatua ya kuchagua chuo cha afya kwa kozi ya clinical medicine (cheti) nisaidieni chuo kipi
kizuri cha private (vya serikali sina sifa)?

Nimevutiwa na na hivi;
1.Mvumi-Dodoma.

2.Kolandoto-Shinyanga.

3.Nkinga-Tabora.


kolandoto shinyanga, machame moshi
 
(1)machame cotc ada=mil 3.5i
(2)sengerema cotc=mil 3
(3)bumbuli cotc.=mil 2.5
hivyo vyuo ni vya mission vipo chini ya KKKT vizuri sana,ni vikongwe wanajua kufundisha vizuri kuna hosptal na vifaa vya kutosha

machame ni 2,750,000
 
mvumu? unaijua kolandoto wewe au unasikia

1. hospitali yao ni kubwa na ni ya rufaa mvumi hata hosp hawana
kwa kifupi mimi nimesoma pale napaelewaa sana ..department ya clinical medicine ni chenga tumeandamana sana mpaka nikaamua kuchomoka pale.. Dogo kama anataka elimu bora aende machame au sengerema

Over
 
kwa serikalin saiv itakua kuanzia 2010 private hata 1988 unapiga

course ingia nacte maana saiv hata uuguzi.lazima uwe na phys
Mkuu, vp kwa mwaka huu vyuo vya serikali Kilimo, mifugo, afya ,ualimu e.t.c wanaanza kuchukuwa waliomaliza form 4 kuanzia mwaka gani...?
 
Back
Top Bottom