Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

Wadau kwema?

Niko katika hatua ya kuchagua chuo cha afya kwa kozi ya clinical medicine (cheti) nisaidieni chuo kipi
kizuri cha private (vya serikali sina sifa)?

Nimevutiwa na na hivi;
1.Mvumi-Dodoma.

2.Kolandoto-Shinyanga.

3.Nkinga-Tabora.
 
kitu gani hasa kilicho kuvutia kolandotoo???? ushauri nenda mvumi
 
VIPI KUHUSU CHUO CHA CITY COLLEGE,,,KAMA KUNA MTU ANAKIJUA VIZURI . ..
 
hiyo nj kozi ya Clinical Assistant ni sina hakika kama bado ipo kweli..??
ila kwa hivyo vyuo mfadhali mvumi...

ushauri wa ziada; kasome nursing cheti, maelezo yako yanatia mashaka somewhere.
 
WADAU KKWEMA?
NIKO KATIKA HATUA YA KUCHAGUA CHUO CHA AFYA KWA KOZI YA CLINICAL MEDICINE (CHETI) NISAIDIENI CHUO KIPI
KIZURI CHA PRIVATE (VYA SERIKALI SINA SIFA)
NIMEVUTIWA NA NA HIVI,,,
MVUMI-DODOMA,
KOLANDOTO-SHINYANGA,
NKINGA-TABORA


Mvumi sio kizur nakushaul nenda sehemu nyingne kwanza mazingira yao mabaya arafu ada yao ni noma!!haiendani na huduma zitolewazo!!!
 
afukuzie MACHAME COTC SENGEREMA COTC au LUGALO huko ndiko kwenye elimu bora.. Over... Vinginevyo do go utalamba garasa
 
(1)machame cotc ada=mil 3.5i
(2)sengerema cotc=mil 3
(3)bumbuli cotc.=mil 2.5
hivyo vyuo ni vya mission vipo chini ya KKKT vizuri sana,ni vikongwe wanajua kufundisha vizuri kuna hosptal na vifaa vya kutosha
 
Nenda RUCU mdau,zamani RUCO.kapige medical Laboratory au Phamacy..ada ni nafuu saana ila cjajua kwa miaka hii.
 
Jamani, mimi nimepata 4 ya 27 nimepata mathe C, chem C, bios D, geo D, phys F , engl D, na kisw D . naomba ushauri nikasome course gani?
 
Uwezekano upo kikubwa wakutoe tuu kwenye system! Kwasababu ukiwa kwenye system wanaamini ya kiwa uliripoti chuoni.

Mi nilikwenda nikawaambia wakanitoa kwenye system nikaomba tena.
ngoja me niulize kidogo hapo.Mimi nilishawahi kuapply na nikachaguliwa sasa sikuripoti chuoni kutokana na matatizo ya kifamilia zaidi. Sasa nimeapply tena na pesa nilituma na nimeselect vyuo na wameniambia subiri majibu yatakapotoka. mbona Mimi hawajaniambia/hawajanionyesha kwamba nipo kwenye system?
na walinitumia password mpya ya profile yangu tofauti na ya mwanzo pamoja na username kwa sababu nilianza kama mgeni lakini nilishawahi kuapply.

Naombeni mnifafanulie kuhusu hili.
 
Ni kweli kaka hata mm yalinikuta hayo.
Ila baada ya kuwauliza na kuongea nao wakanijibu ya kuwa hakuna tatizo kwenye hilo kwani naweza apply upya pasipo process nyingine yeyote ile na niwe free.
Nimeomba upya na sasa nasubir selection kwa diploma lakin.
Ila kwa degree ni lazima ufutwe kwenye systeam ndipo uanze upya kwa mujibu wao.
 
Uwezekano upo kikubwa wakutoe tuu kwenye system! Kwasababu ukiwa kwenye system wanaamini ya kiwa uliripoti chuoni.

Mi nilikwenda nikawaambia wakanitoa kwenye system nikaomba tena.
,ahsante sana ndugu,kwasasa dogo yupo arusha,awasiliane na necta kwa njia IPI kaka,msaaada wako mkuu
 
Ni kweli kaka hata mm yalinikuta hayo.
Ila baada ya kuwauliza na kuongea nao wakanijibu ya kuwa hakuna tatizo kwenye hilo kwani naweza apply upya pasipo process nyingine yeyote ile na niwe free.
Nimeomba upya na sasa nasubir selection kwa diploma lakin.
Ila kwa degree ni lazima ufutwe kwenye systeam ndipo uanze upya kwa mujibu wao.
,mkuu tatzo nikiweka details kama mwaka aliomalizia o level inagoma kabsa best,tatzo linaweza kuwa nn
,
 
(1)machame cotc ada=mil 3.5i
(2)sengerema cotc=mil 3
(3)bumbuli cotc.=mil 2.5
hivyo vyuo ni vya mission vipo chini ya KKKT vizuri sana,ni vikongwe wanajua kufundisha vizuri kuna hosptal na vifaa vya kutosha
,nmependa fees structure ya vyuo hapo juu,unaweza kunipatia fees structure ya vyuo vya afya vyenye nafuu,in clinical office r au laboratory health
 
peramiho school nursing ni bonge la chuo hakuna hapa tanzania, vingine ndo vitafata.
 
Back
Top Bottom