Ozzanne Issakwisa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 288
- 241
Wameanzisha vyuo gani na kozi gani? Najua kwa nurses wanaojiendeleza.mkuu,kwa sasa sector ya afya kuanzia ngazi ya cheti mpaka diploma wanatoa kwa njia ya e-learning programs (distances learning)hasa kwa inservice (kwa wake waliopo makazini).
Utaitwa chuoni kwa ajili ya facetoface na clinical area rotation nayo inaweza kukuchukua mwezi mzima au zaidi ukiwa chuoni hii kwa sababu course za afya zinahitaji mazoezi yakutosha pia wakati WA mitihani utaitwa before one or two week kwa maandalizi zaidi..
Pia utakapokuwa nyumbani utatafuta mentor kwenye hospital ya wilaya kwa ajili ya kukusupervise ukiwa clinical area pia walimu wanaweza Kuja kukusupervise pengne Mara moja kwa mwezi kujua maendeleo yako