Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
ha haa ha, mkuu hivi Tanzania nako kuna wasomi wa kujitapa? Ebu niambie huo usome wenu umelisaidiaje taifa letu au usomi wenu kazi yake ni kufisadi nchi.
Hamna kitu zaidi ya kuisaidia sarafu ya YURO