KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

tatizo tulishakosea pale mwanzo walipoanzisha maandamano bila kibali yakafanikiwa umeshakuwa utaratibu wa kawaida sasa ndugu zetu wa kiislam kudai vitu vidogo vidogo kwa kufanya maandamano hata kama mkosaji ni kichaa au mtoto atutaki kutumia busara hata kidogo maamuzi ya mwembe chai yalikuwa ya busara sasa hawamu hii tumekuwa biased mno na sasa tunaaribu mambo na wanafanya kwa makusudi kwa mfano kudai mahakama ya kiislam kwenye nchi ambayo sio ya kiislam huu ni wehu na uhuni
 
Huyu Sheikh Ponda ni nani hasa? Kova anasema amekuwa akionywa mara kwa mara lakini hatii sheria za Nchi na bado wamekuwa wanamtazama tu, sasa namimi naanza kuamini Serikali ni dhaifu katika kuchukua hatua mambo ya msingi, wamemnyamazia mpaka sasa amejiona yupo juu ya sheria.
Hakuna serikali dhaifu wala nini, shida ni siasa na udini tu, enzi za Mzee Mwinyi hawa Waislamu walikuwa wakifanya haya haya, wakati wa Mkapa mbona walinywea?
Mbona Mch Mtikila hawachoki kumshitaki?
 
Hivi ww Ritz kwanini uhusishe haya maoni na cdm
 
Last edited by a moderator:
Subhana llah kweli akutikanae hakuchagulii tusi, nimeamini kuwa upole huzaa huruma, uchesi huzidisha wema, subra hufungua rehma, uvumilivu humkinga mtu na maovu uaminifu humjenga mtu imani mungu akujaalie hayo na familia yako uondokane na mdomo mchafu mana umekuwa kama hupigi mswaki vile.
 
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.

Unakadi ya uanachama wa Uamsho?
 
Kukamatwa si shida anaweza kukamatwa na kuachiwa after few minutes, inavyoelekea ni kama sirikali ya CCM imeamua kuwaacha hao wendawazmu na upeo wao mdogo wa kufikir wafanye wanavyotaka
 
mkuu unamatatizo makubwa sana ya udini!

Wewe ndio mdini na dini yako ndio chanzo cha vurugu na migomo Tanzania!!! lakini mwisho wenu hauko mbali! za mwizi arubaini!!!:hatari:
 
hatutaki kura za waislamu mbuzi kam ww na ponda ambao mnaleta machafuko nchini, safari hii wakristo hatutaleta tena ujinga wa kuchagua muislamu iwe chadema ama CCM kwani tumejua ni jinis gani mkivyo wajinga pale mnapogundua kuwa kiongozi wa juu ni dini yenu.
Pia hapa hakuna cha uchadema wala Uccm bali hapa ni lazima tuonganishe nguviu wakristo wa vyama vyote ktk kuwaondoa waislamu nyie wenye vurugu, kama unabisha subiria sasa uone jinsi siasa zitakazopigwa kanisani mpaka mtahamia maka na madina.

Mh!!!! sijaona wala kusikia mtu mjinga na mpumbavu kama wewe. Hivi unafikiria hii ni nchi ya wakristo pekee yao. sasa tutaona kama hutajifungia wakati wakristo wenzako wanasambaza maji ya kuwasha mitaani. Hutafika kokote huu ni upumbavu wako tu mjinga wewe
 
Dah!haya mambo bhana..... ujinga ndio kitu pekee kilichotufikisha hapa... wenze2 walishatoka huko zamaaani, and no body cares... ujinga ujinga tu.. ujinga tena hata kwa wa2 wenye dhamana kubwa za kitaifa... ujinga.. wenzenu iran wanafkiria kuhfadh uraniam... huku ujinga ujinga 2..
 
Hali si shwari. Kuna kila dalili kuwa kila Ijumaa tutegemee tukio. Je, misikitini ni mahali pa kupanga mipango kama hiyo? Inaaminika misikitini ni mahali pa kumcha Mungu.
Ndugu yangu, Msikitini ni mahala pa kila kitu; swala, siasa, fitina, mazoezi ya karate (serikali, TIS na CCM wanajua). Hata Sheikh mkuu alishazungumzia Ponda na wenzake wanafundisha karate Misikitini lkn Serikali
kimya, mradi CCM inaendelea kutawala!
Serikali kuongozwa kidini ni hatari sana.
 
ha haa ha, mkuu hivi Tanzania nako kuna wasomi wa kujitapa? Ebu niambie huo usome wenu umelisaidiaje taifa letu au usomi wenu kazi yake ni kufisadi nchi.

we wacha tu. Ngoja tutunge tena safari nyingine. Sasa tutaenda kutalii uswis kwenye vilima vya alps. Stress za mitanzania zitamzeesha vasco wetu bure
 
namshukuru M/Mungu kwa kunipa busara pia nawashukuru wazazi wangu kwa malezi mazuri waliyonipa mana nigekosa busara huyu aliyetamka Stupid ningesha mashamblia Ewe M/mungu walaani wote wanaoudhalilisha uislamu humu JF kaa ulivyo mlaani aliyemdhalilisha Mtume wetu Mohamad S.A.W AMINA .

pia awalaani na wanaochoma makanisa daily, wanaotukana wakristo kule radio imaan na wanaothamini majini na mapepo ya kuzimu kuliko binadamu wenzao.

Inshallah amin.
 
jiheshimu utaheshimika siyo kubwabwaja tu kama umekunywa komoni au mbege.
 
Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaama Shehe Selaiman Kova amasema Shehe ponda atakamatwa muda wowote kuanzania sasa.

Akiongea na waandishi wa habari Kova amesema Shehe ponda amakuwa akichochea waumini wa dini yake kuandamana na kuleta vurugu, ameonywa mara kadhaa lakini hajaweza kutii sheria za nchi

Source:Kova

Update:.....................

Inawezekana ponda wanamuogopa inawezekana asikamatwe wala kuguseswa

more to follow

Ni kweli kuna dalili zote za kumuogopa! Kova anahaja gani kututaarifu kuwa watamkamata Ponda! Alitakiwa kutuambia tayari wanamshikiia Ponda kwa uchochezi!
 
makanisa mchome wenyewe muwasingizie waislamu? huyo muislamu aache kazi zake akachome kanisa kakosa kazi? jiangalie maneno yako.
 
hatutaki kura za waislamu mbuzi kam ww na ponda ambao mnaleta machafuko nchini, safari hii wakristo hatutaleta tena ujinga wa kuchagua muislamu iwe chadema ama CCM kwani tumejua ni jinis gani mkivyo wajinga pale mnapogundua kuwa kiongozi wa juu ni dini yenu.
Pia hapa hakuna cha uchadema wala Uccm bali hapa ni lazima tuonganishe nguviu wakristo wa vyama vyote ktk kuwaondoa waislamu nyie wenye vurugu, kama unabisha subiria sasa uone jinsi siasa zitakazopigwa kanisani mpaka mtahamia maka na madina.

so bora iwe kama nigeria na bokoharam au sio kk?
 
Nashiriki kwa mara ya kwanza, naomba wanaofahamu vizuri na kumfahamu vyema huyo anayeitwa "Sheikh Ponda", na pia wanaouelewa vizuri "uislamu" wanieleweshe, Hivi huyo "Sheikh" anawakilisha "Uislamu"? au anaongozwa na mawazo yake, hisia zake na uelewa wake ambao anauona ni sahihi katika uislamu?
 
Back
Top Bottom