He kumbe tuna amani????????Haya maandamano ni ya CDM kutaka kutuvurugia amani yetu ya Tz na si lingile lolote !
wakati nachangi leo kwenye thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...to-prevent-our-economy-from-collapsing-2.html page ya pili nilisema hiki kitu kuwa leo jion au kesho asubuhi kauli itatoka ya kuzuia maandamano hayo na sababu kubwa ikiwa ni alshabaab....
jana walitka kulisema pale wakati mwema anaongea na na waandishi wa habari lakini wakaihilisha na leo ndo huyo kova kabwatuka....wanadai haya yatakuwa maandamano makubwa kama yakifanyika na hunda yakaibua kitu kingine ikiwa ni pamoja na kumtaka raisi ajiuzuru...so wamtumia kigezo cha alshabaab kama sababu na hata jana mwema kuliongelea swala hili ilikuwa ni mkakati wa kulifanikisha leo...'' nimesikia kuna maandamano yanafanyika dar jumamosi juu ya kupinga dowans na ufisadi....ningeshauri maandamno yafanyike nchi nzima lakini nasikia leo jioni au kesho asubuhi watakuja na tangazo la kusema habari za kiintelijensia zimesema kundi la alshabaabu linaweza kulipua dar mda wowote na hivyo kuyasambaratisha maandamano......maana wanasema toka ubungo hadi huko jangwani ni parefu mno so wanahisia machafuko ili kuwatisha watu watatoa vitisho vya alshabaab....''
al shabaab inahusiana vp na dowans?kuna watu wanafikiria na masaburi sanaTanzania tuna viongozi wa ajabu...!!! Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns..... eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...
Source Radio Wapo FM..... Najisikia kuanza kulia.....
kova kachukua point yako !wakati nachangi leo kwenye thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...to-prevent-our-economy-from-collapsing-2.html page ya pili nilisema hiki kitu kuwa leo jion au kesho asubuhi kauli itatoka ya kuzuia maandamano hayo na sababu kubwa ikiwa ni alshabaab....
Ukichunguza sana unaweza kuta al shabaab wana uhusiano na wamiliki wa Dowans mana hata andiko la Mwakyembe polisi, lilionesha ushiriki wa watu wanaohisiwa kuwa ni al shabaab katika kupanga njama za kumdhuru. So inawezekana wametaarifiwa kuwa waTZ bado tunaleta utata juu ya hayo malipo. So inawezekana Kova na Serikali wanawatumia Al shabaab katika uhalifu wao.wajuaje, labda alshaabab wanaunga mkono dowans, LOL:crutch:
Mkuu nafikiri hata hizi sherehe za 50 ya uhuru wa (Tanganyika) wao waita Tanzania tusimamishe pia !