Kosa ni la msaliti?

Kosa ni la msaliti?

Kwa hiyo hujawahi sikia tunavyo mlaumu mwanaume mwenzetu asisomeshe mchumba(mwanamke)?

Matokeo hasi ya kusomesha yanaletwa na mchumba(mwanamke) na si yule anaelipa ada (mwanaume), lakini sisi hatuwezi kuacha kumlaumu mwanaume kwa kutotumia akili yake vizuri na hivyo kumsomesha mchumba aliemletea matokeo hasi.

Haimaanishi wanawake wote wanaosomeshwa wanaleta matokeo hasi ila mwanaume atumie akili yake vizuri ndio maana tunamwambia asisomeshe mchumba/mwanamke.

Kwa hiyo hata nyinyi mnakumbushwa kutumia akili vizuri maana sio wanaume wote wapo kwa ajili ya kuanzisha familia kwa dhati. Kutumia akili vizuri haimaanishi uwe jeuri, katili.
 
Hakuna namna nitaeleweka naona kwa sababu nadhani tumetofautia mioyo

Alikuchagua au mlichaguana
Sawa ni makosa yake kukupenda muhuni lakini haihalalishi huo uhuni wako et una upaka mafuta na kuona ni sawa never ubaya ni ubaya tu

Sawa sawa

Unaongea like wewe hujawahi kufanya mistake
Na sisemi hivi kuhalalisha makosa
Naongea kama binadamu ambaye issue ya kuteleza ni jambo lisilo epukika kwa 💯
So kama binadamu hutakiwi kutenda uovu kwa wale watu wanafanya mistake
Jirani yako aache mlango wazi uibe then uone ni haki yako?

Kosa ni lake na kosa ni lako pia
Ndiyo maana tapeli anaweza kuwajibishwa kwa kujipatia pesa kwa njia ya utapeli

Ninachosema wote wanamakosa. Na wote watawajibika kwa makosa yao.

Ni kama ile kesi pale Bustani ya Eden

Wewe kumuamini na kumpenda mtu asiye sahihi hilo ni kosa na lazima uwajibike 8
 
Hakuna namna nitaeleweka naona kwa sababu nadhani tumetofautia mioyo

Alikuchagua au mlichaguana
Sawa ni makosa yake kukupenda muhuni lakini haihalalishi huo uhuni wako et una upaka mafuta na kuona ni sawa never ubaya ni ubaya tu

Sawa sawa

Unaongea like wewe hujawahi kufanya mistake
Na sisemi hivi kuhalalisha makosa
Naongea kama binadamu ambaye issue ya kuteleza ni jambo lisilo epukika kwa 💯
So kama binadamu hutakiwi kutenda uovu kwa wale watu wanafanya mistake
Jirani yako aache mlango wazi uibe then uone ni haki yako?

Kosa ni lake na kosa ni lako pia
Ndiyo maana tapeli anaweza kuwajibishwa kwa kujipatia pesa kwa njia ya utapeli
Makosa yapo of course. Na hakuna mtu ambaye anaweza kusema hajawai kufanya makosa. Mistakes are there to teach us.

Kama ukikosea unapaswa kujifunza na kuwajibika kwa makosa yako, ili husirudie tena. Husipokubali kujifunza au kuwajibika lazima utarudia makosa yaleyale mpaka utakapojikuta umezama mazima.
 
Kama walikua wameooana basi mwenye kosa ni mwanaume, kwa sababu mkioana mnakua na lenu moja ila kama walikua hawajaoana ni watu waliopaparukiana tu na kuingizana ndani basi kosa ni la wote wawili. Kwa mwanamke kosa ni kuamini kiasi cha kumpa nyara zake mtu ambaye siye mume wake halali, na kwa mwanaume kosa ni kumsaliti mtu ambaye kamuamini.
Upo sahihi kabisa makosa ni ya wote hakuna namna ya msafisha mmoja
 
Lakini wanawake kawaida wanaangukia kwenye mikono ya matapeli eti wanatafuta bad boys.

Mwanamke ni kawaida kumkataa mwanaume sahihi, akaenda kumchagua mwanaume tapeli, katili.

Ni same tu kwa kijana wa kiume anaweza kumwacha Binti anayejielewa, akaenda kuwachagua sijui wanawahita bad girls.

MAPENZI UPOFU
Dah kasheshe bad boys&bad girls
 
Kabisa kabisa Na hapo ndipo tunapogusa jambo muhimu sana: kila mtu ana matarajio yake kwenye mahusiano, na watu hatujafanana maarifa, malezi, uzoefu wala namna ya kutafsiri upendo.

Mtu anaweza kukupenda kwa kiwango kikubwa sana na akaona kujitoa kwake ni kawaida, wakati wewe ukaona kiwango hicho ni kikubwa kuliko unavyoweza kurudisha. Hapo si lazima mmoja awe mbaya.

Cha muhimu ni uwazi.

Kama najua matarajio yako kwangu ni makubwa, lakini mimi sina uwezo, nia au utayari wa kukupa unachokitarajia, sitakiwi kutumia upendo wako kama sababu ya kukushikilia.

Na pia wewe kunipenda sana hakunilazimishi nikupende kwa kiwango kilekile. Upendo hauwezi kulazimishwa wala kulipwa kwa deni.

Ndiyo maana communication ni muhimu sana. Tuseme wazi tunataka nini, tunaweza kutoa nini na hatuwezi kutoa nini. Mtu akijua ukweli mapema, ana nafasi ya kuamua kama anaendelea au anaondoka.

Kwa hiyo, tusiumizane kwa makusudi, lakini pia tusichanganye “sitaki kukuumiza” na “lazima nikidhi matarajio yako yote.”

Wakati mwingine kumpenda mtu ni kuwa mkweli kwake hata kama ukweli huo utamuumiza kwa muda

Maana maumivu ya kuambiwa ukweli mapema yanaweza kuwa nafuu kuliko miaka ya kuishi kwenye matumaini ambayo wewe mwenyewe unajua hayatatimia
💯👏👏
 
Dunia haipendi victims, Dunia inalaumu victims so don’t be a victim…

Same same nilikuwa namuhadithia mtu kuwa kuna kaka yangu (sio wa kuzaliwa) Alikuwa anampenda mkewe sana, kampa maisha, kamfungulia biashara lakini mwanamke mwisho wa siku akamissuse kila jema alilopewa. Niliyekuwa namuhadithia (ni mwanaume mtu mzima Boss wangu) Alinijibu kaka yako hana akili na alideserve alichofanyiwa….. As naive as i was nilikuwa na sympathize na victim nikashangaa mtu kusema victim hana akili, hana akili kivipi mtu ambaye ana fanya kazi ya akili, anaingiza hela nyingi na he wanted the best for his wife??

Mpaka leo namwangalia Boss wangu kwa macho tofauti….. Make it make sense!!!!
Just imagine darling yaan kwa scenario kama hiyo et bado mtu ana mlaumu victim badala kushangazwa na huyo tapeli mwanamke

Mi hua najiuliza watu wana waza vipi jamani🙌

Wewe ni twin mama kuna vingi tunafanana binti kiziwi
 
Kwa hiyo hujawahi sikia tunavyo mlaumu mwanaume mwenzetu asisomeshe mchumba(mwanamke)?

Matokeo hasi ya kusomesha yanaletwa na mchumba(mwanamke) na si yule anaelipa ada (mwanaume), lakini sisi hatuwezi kuacha kumlaumu mwanaume kwa kutotumia akili yake vizuri na hivyo kumsomesha mchumba aliemletea matokeo hasi.

Haimaanishi wanawake wote wanaosomeshwa wanaleta matokeo hasi ila mwanaume atumie akili yake vizuri ndio maana tunamwambia asisomeshe mchumba/mwanamke.

Kwa hiyo hata nyinyi mnakumbushwa kutumia akili vizuri maana sio wanaume wote wapo kwa ajili ya kuanzisha familia kwa dhati. Kutumia akili vizuri haimaanishi uwe jeuri, katili.
Mkuu mimi nakubali sawa
Issue ni kwamba kwanini alaumiwe zaidi mwanaume aliesomesha huyu tapeli aliesomeshwa anaacwa kana kwamba alikua sahihi kumtenda huyo jamaa

Sijui unielewa point yangu?
 
Makosa yapo of course. Na hakuna mtu ambaye anaweza kusema hajawai kufanya makosa. Mistakes are there to teach us.

Kama ukikosea unapaswa kujifunza na kuwajibika kwa makosa yako, ili husirudie tena. Husipokubali kujifunza au kuwajibika lazima utarudia makosa yaleyale mpaka utakapojikuta umezama mazima.
Shukran mkuu
 
Back
Top Bottom