Kwa hiyo hujawahi sikia tunavyo mlaumu mwanaume mwenzetu asisomeshe mchumba(mwanamke)?
Matokeo hasi ya kusomesha yanaletwa na mchumba(mwanamke) na si yule anaelipa ada (mwanaume), lakini sisi hatuwezi kuacha kumlaumu mwanaume kwa kutotumia akili yake vizuri na hivyo kumsomesha mchumba aliemletea matokeo hasi.
Haimaanishi wanawake wote wanaosomeshwa wanaleta matokeo hasi ila mwanaume atumie akili yake vizuri ndio maana tunamwambia asisomeshe mchumba/mwanamke.
Kwa hiyo hata nyinyi mnakumbushwa kutumia akili vizuri maana sio wanaume wote wapo kwa ajili ya kuanzisha familia kwa dhati. Kutumia akili vizuri haimaanishi uwe jeuri, katili.
Matokeo hasi ya kusomesha yanaletwa na mchumba(mwanamke) na si yule anaelipa ada (mwanaume), lakini sisi hatuwezi kuacha kumlaumu mwanaume kwa kutotumia akili yake vizuri na hivyo kumsomesha mchumba aliemletea matokeo hasi.
Haimaanishi wanawake wote wanaosomeshwa wanaleta matokeo hasi ila mwanaume atumie akili yake vizuri ndio maana tunamwambia asisomeshe mchumba/mwanamke.
Kwa hiyo hata nyinyi mnakumbushwa kutumia akili vizuri maana sio wanaume wote wapo kwa ajili ya kuanzisha familia kwa dhati. Kutumia akili vizuri haimaanishi uwe jeuri, katili.