ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,239
- 40,780
- Thread starter
- #101
Shukran ššHakuna mwenye X-ray machine ya kuumulika au kuuchunguza moyo(Nia) ya mtu. Kuna mambo tukubali tu kwamba yapo juu ya Uwezo wetu wa kibinadamu. Ndio maana tunashauri kufanya hivi š
MITHALI 3
5 Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
6 Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.
Kujimwambafy kwenye mambo yaliyo juu ya Uwezo kutazidi kuwakaanga wengi