Kosa linalopuuzwa na Rais

Kosa linalopuuzwa na Rais

Mwanaume pia hufunzwa adabu, au hujaenda jando?


Nani unabishana nae kwani Dada? Wapi nimesema mwanaume hafunzwi adabu? Nilichoongelea umekisoma na kukielewe au unaandika tu kwa mihemko. Sipo hapa kuwakandamiza wanawake au kuwatetea wanaume. Ninachoongelea ni umuhimu wa kumfunza adabu mwanamke kwa mustakabali wa kizazi kijacho. Sasa sijui hujaelewa wapi?
 
Mkuu umeandika point za maana sana. Umefanya nitafakari mienendo ya 'mabinti' wa kitanzania na nikalinganisha na mienendo ya wanawake mashuhuri kwenye biblia walivyokuwa wanawapigania mataifa yao. Mtu kama Esther na hata Delila aliyewapigania wafilisti ndugu zake japo hakuweza kuwaokoa.
Ukiachana na habari za wale wa biblia, kuna habari ya miaka ya 1960s inayohusu mwanamke wa kiyahudi aliyekuwa kaolewa misri aliyoweza kupenyeza taarifa muhimu na hatimaye kuliokoa taifa lake dhidi ya maashambulizi ya wamisri na hatimaye Israel ikapata ushindi. Swali la kujiuliza ni je, mabinti wa Tanzania kama Mange anaweza kufanya hivyo? Au ndo atafanya sherehe kisa taifa linasambaratika?
 
Nani unabishana nae kwani Dada? Wapi nimesema mwanaume hafunzwi adabu? Nilichoongelea umekisoma na kukielewe au unaandika tu kwa mihemko. Sipo hapa kuwakandamiza wanawake au kuwatetea wanaume. Ninachoongelea ni umuhimu wa kumfunza adabu mwanamke kwa mustakabali wa kizazi kijacho. Sasa sijui hujaelewa wapi?
Mawazo yako nayapinga, hayana nafasi kwa sasa,

Tujadili kuhusu matatizo yanayoikabili jamii ya kitanzania na afrika, upuuzi huu ulouandika kauprinti uwe kwenye kabati km kumbukumbu
 
Mkuu umeandika point za maana sana. Umefanya nitafakari mienendo ya 'mabinti' wa kitanzania na nikalinganisha na mienendo ya wanawake mashuhuri kwenye biblia walivyokuwa wanawapigania mataifa yao. Mtu kama Esther na hata Delila aliyewapigania wafilisti ndugu zake japo hakuweza kuwaokoa.
Ukiachana na habari za wale wa biblia, kuna habari ya miaka ya 1960s inayohusu mwanamke wa kiyahudi aliyekuwa kaolewa misri aliyoweza kupenyeza taarifa muhimu na hatimaye kuliokoa taifa lake dhidi ya maashambulizi ya wamisri na hatimaye Israel ikapata ushindi. Sasa jiuliza je, mabinti wa Tanzania kama Mange anaweza kufanya hivyo? Au ndo sherehe kisa taifa linasambaratika?


Wanawake ni viumbe muhimu pale wanapodhibitiwa kikamilifu. Tofauti na hapo ni balaa kuliko itakavyodhaniwa.
 
Wewe mtoto una Laana kweli kweli!
Kwa nchi zote zilizoendelea mwanamke ni next to God!
Angalia sheria za mmarekani zinvyo mtetea mwanamke, Europe na kwingine kote!
Nchi zote zinazo mdhalilisha mwanamke zinatawaliwa na mwanamme wa nchi nyingine!
Piga mahesabu yako vizuri usije ukafa bado kijana!
Mwanamke ni mtu kiumbe wa kuogopewa sana!
NDIYO MAANA VIJIJINI KUMEBAKI KINAMAMA NA WATOTO!
Chunga sana kijana!
 
Mawazo yako nayapinga, hayana nafasi kwa sasa,

Tujadili kuhusu matatizo yanayoikabili jamii ya kitanzania na afrika, upuuzi huu ulouandika kauprinti uwe kwenye kabati km kumbukumbu


Kwenye hii post hujaona matatizo yanayoikabili Afrika mkuu au ndio kujitia huna akili?
Hujaona tatizo la vijana kukokuwa na maadili kwenye hii post?
hujaona tatizo la uvivu kwa vijana kwenye hii post?
hujaona tatizo ndoa kuvunjika kwenye hii post?
hujaona hatari ya kuvunjika kwa amani kwenye nchi za kiafrika kwenye hii posti?

unataka matatizo gani niyazungumzie?
 
tukirejea kwenye makusudi ya mwenyezi mungu ya uumbaji wa mwanadamu ktk hizi jinsia mbili,kuna kitu kilikusudiwa ktk mfumo wa maisha ya jinsia hizo,ila utashi wa mwanadamu ndio ulioleta haya matokeo ya kibeijing.........
 
tukirejea kwenye makusudi ya mwenyezi mungu ya uumbaji wa mwanadamu ktk hizi jinsia mbili,kuna kitu kilikusudiwa ktk mfumo wa maisha ya jinsia hizo,ila utashi wa mwanadamu ndio ulioleta haya matokeo ya kibeijing.........
 
Kwenye hii post hujaona matatizo yanayoikabili Afrika mkuu au ndio kujitia huna akili?
Hujaona tatizo la vijana kukokuwa na maadili kwenye hii post?
hujaona tatizo la uvivu kwa vijana kwenye hii post?
hujaona tatizo ndoa kuvunjika kwenye hii post?
hujaona hatari ya kuvunjika kwa amani kwenye nchi za kiafrika kwenye hii posti?

unataka matatizo gani niyazungumzie?
Mke uliye muoa au mtoto wa kumzaa unaweza kumdhibiti japo inategemea,

Narudia tena

Mliweza zamani kdhibiti mwanamke, kwa sasa haiwezekani tena,
 
Wewe mtoto una Laana kweli kweli!
Kwa nchi zote zilizoendelea mwanamke ni next to God!
Angalia sheria za mmarekani zinvyo mtetea mwanamke, Europe na kwingine kote!
Nchi zote zinazo mdhalilisha mwanamke zinatawaliwa na mwanamme wa nchi nyingine!
Piga mahesabu yako vizuri usije ukafa bado kijana!
Mwanamke ni mtu kiumbe wa kuogopewa sana!
NDIYO MAANA VIJIJINI KUMEBAKI KINAMAMA NA WATOTO!
Chunga sana kijana!

Wapi nimesema mwanamke asitetewe?
Wapi nimesema adhalilishwe?
Mwanamke ni kiumbe anayeogopwa ikiwa hata dhibitiwa hayo mengine ni kujikosha tuu.
Hizo nchi ulizozitaja ndizo zinaongoza kwa kumdhibiti mwanamke. Kama hujui mambo kaa kimya. Kama hujui historia rudi shule kasome. Acha Propaganda kwenye media za magharibi ewe binti mdogo.

Kuishi ni kwa Bwana na kufa ni kwake pia.
Usomapo utulie na kufikiri na sio kuongozwa na mihemko
 
tukirejea kwenye makusudi ya mwenyezi mungu ya uumbaji wa mwanadamu ktk hizi jinsia mbili,kuna kitu kilikusudiwa ktk mfumo wa maisha ya jinsia hizo,ila utashi wa mwanadamu ndio ulioleta haya matokeo ya kibeijing.........


Ukitaka amani jiandae kwa vita.
 
Back
Top Bottom