mtoto wa mjini
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 1,754
- 902
Mkuu, eleza kidogo.Unaposema Mwanamke inabidi adhibitiwe una maanisha nini hasa?.Asipelekwe shule?,asiajiliwe?,asifanye biashara?,asimiliki mali/fedha?,hastahili nafasi za Uongozi?.Fafanua tafadhali.Wanawake ni viumbe muhimu pale wanapodhibitiwa kikamilifu. Tofauti na hapo ni balaa kuliko itakavyodhaniwa.