Kosa kuu la tatu la UKAWA

Kosa kuu la tatu la UKAWA

Wale mburula wa Lumumba mle ndani ni wengi kuliko wapinzani kwa hiyo hata upinzani wasipotoka nje jambo lolote litapitishwa tu,ni heri watoke kulinda maamuzi yao.
 
Wewe mtoa mada mjinga kweli! Yaanj eti ulitaka ukawa wafanye kils ccm wanachotaka hata kubsriku uovu wa zanzibar ili tu wawepo bungeni au barazani? Ugeugeu gani huo. Kitendo chs Cuf kukataa kuhalalisha haramu iliyofanywa na ccm ni ushujaa mkubwa! Wewe unawazia tumbo tu na maslahi! Hayo yotecCAf wameyasactifice ndio maana unashangaa!
 
Hata kama wapinzani ni wachache, lakini kusikika wakiongea na kuchangia kile wanachokiamini ni mtaji mkubwa sana, kipimo cha wapiga kura ni kusikia nini unachokisimamia ukisusa ni hasara kubwa.
Ni moja ya hatua kushinikiza waeshimike ndani hata kama ungekua we ungefanya ivo kwaiyo ni sawa acha wafanye ivo ili wasikike wakija jimboni wakikwambia wamesema lkn ndo awajasikilizwa we utasema ameshindwa kaz ya kusimamia serikali
 
CCM imepata mtelezo.Ikitaka kupitisha jambo lolote bungeni bila vikwazo vya upinzani inamuambia Tulia aongoze bunge. CCM sasa inaweza kuamua lini wapinzani wawepo bungeni na lini wasiwepo kwa kutumia msimamo wa UKAWA dhidi ya Tulia. Haya ni matokeo ya maamuzi ya hasira ya Mbowe. Yatagharimu UKAWA na nchi pia wakati mwingine.

Kuna makosa makuu matatu wanaUKAWA (wale wanaofikiri) tunayajutia sana.Kosa la kwanza ni kukubali Lowassa awe mgombea wetu wa urais.Kosa la pili ni kugomea uchaguzi wa Zanzibar.Na kosa la tatu ni hili la kumgomea Tulia.TUNGOJE.

Kweli Lumumba mmefilisika! Hata wapinzani wakiwepo simnapitisha mambo yenu kwa uwingi wa akili ndogo kuongoza kubwa ?
Mnawahitaji Wapinzani ili kuhalalisha mabaya mnayoyapitisha ! Sasa inataka kuwashuka kwa sababu mnaelekea kukosa mwamvuli !
 
Kweli Lumumba mmefilisika! Hata wapinzani wakiwepo simnapitisha mambo yenu kwa uwingi wa akili ndogo kuongoza kubwa ?
Mnawahitaji Wapinzani ili kuhalalisha mabaya mnayoyapitisha ! Sasa inataka kuwashuka kwa sababu mnaelekea kukosa mwamvuli !
Yani we unajua kila anayekosoa maamuzi ya kijinga ya Mbowe ni Lumumba tu.Unafikiri CHADEMA wote ni ndio mzee?
Mimi ni CHADEMA og.sio ULIPO TUPO kama wewe.
 
Kwa hali jinsi ilivyo nimezidi kua mpinzani na hayo uliyo yagusia ni upande mmoja tu wa shilingi(negative side).Ni wazi kua wabunge wetu wanaonewa mjengoni na mawazo yao yenye nia nzuri yanazidi kupuuzwa.
Kugoma ni njia moja wapo ya kuonyesha kutokulizishwa na uendeshaji mbovu wa bunge unaofanywa na yule demu.Ni wazi yupo kwa ajili ya kukandamiza upinzani.
Kwa ujio wa lowassa upinzani naona ni jambo jema.Nilifurahi alipo kuja,maana kuja kwake kutawasaidia CCM members ambao ni wazalendo na wasio afiki dhuluma ya CCM kuhamia upinzani.Na pia Mimi sijawahi kuamini jamaa ni fisadi,maneno yote yale zidi yake ni siasa tu.Lowassa kaja na mengi na ni mfano wa kuigwa.Kushindwa kwenye uchaguzi ilikua lazima tushindwe tu.Mizizi yetu bado sana kwenye maeneo muhimu na ambako wapiga kura ni wengi.Lowassa kabadilisha siasa yetu ya kukaririshwa.
Swala la Zanzibar naliunga nalo mkono.Boycotting yale marudio ya uchaguzi ni sahihi.Sometimes we have to fight for some things kama peaceful means zimeshindikana.Watu wanalichukulia poa hili lakini impact yake itakuja kuonekana baadae. Visiwani wanajitambua unlike huku kwetu majority ni waoga na wanafiki tu.
Ulichokisema kina ukweli,ila baada ya kupima faida na hasara zake nakubaliana na maamuzi ya wenzetu.
 
Huwa najiuliza kama UKAWA wanakuwa wamekaa kikao ili kufikia uamuzi kama huo wa kutohudhuria vikao vya bunge vinavoongozwa na Dr. Tulia au inakuwa ni uamuzi wa Mbowe ambao wengine inabidi waufuate kwa principle ya "Nyumbu".

Kama wangejipa muda wa kutafakari uamuzi mzito kama huo kwenye vikao, bila shaka wangekuwa na maamuzi tofauti.

Hivi kwa nini UKAWA wasifanye tahthmini ya hali halisi ya kisiasa nchini na kuleta mkakati mpya wa kupambana na CCM? Kale ka wimbo ka ufisadi JPM alishakabinafsisha. Watafute kitu kingine. Naamini kuna vitu vingi tu ikiwemo huduma mbovu za jamii - elimu, afya nk.
 
Mkuu, kosa LA nne walilofanya ukawa no kususia mjadala wa katiba pendekezwa. Wataendelea kupotea kwenye Raman ya siasa Tanzania na mpaka waje wamwelewe mbowe watakuwa wamekwisha
 
Hivi ule uwingi wa wapinzani umeongeza nini bungeni?

Mbona kuna kipindi Slaa na Zitto walikuwa wawili tu alafu serikali ilikuwa inakiona?

Hawa wapo zaidi ya 100 alfu wanasusa?
 
Ukiongelea Mbowe unaongelea mkokoteni kufungwa mbele ya Punda.
 
Wewe mtoa mada mjinga kweli! Yaanj eti ulitaka ukawa wafanye kils ccm wanachotaka hata kubsriku uovu wa zanzibar ili tu wawepo bungeni au barazani? Ugeugeu gani huo. Kitendo chs Cuf kukataa kuhalalisha haramu iliyofanywa na ccm ni ushujaa mkubwa! Wewe unawazia tumbo tu na maslahi! Hayo yotecCAf wameyasactifice ndio maana unashangaa!
Mbona uchaguzi wa meya wa dar haukususiwa??
 
Pole sana mtoa Mada, maadamu nchi hii ni demokrasia na bando umenunua kwa pesa zako basi tunakuvumilia lililo muhimu ni kukuelimisha.

Suala la Lowasa.
Kwa wana CCM na wenye fikra duni Lowasa si lolote na hakustahiri kupewa nafasi UKAWA. Swali la kujiuliza kama sio Lowasa nani alistahili?
Kwa wenye kujua kufanya ulinganifu kwa kutumia "input output ratio" wanajua ni kwa kiasi gani ametoa mchango na hamasa kubwa katika uchaguzi uliopita.

Uchaguzi wa Zanzibar.
Haramu ni haramu. Huwezi kusema kitendo cha kuufuta uchaguzi wa Zanzibar kilikuwa haramu "then" Ukikubali kushiriki uchaguzi wa marudio. Kilicho muhimu ni historia imeandikwa "Kuna chama kimeamua kung'ang'ania madaraka pasipo ridhaa ya wananchi"
Kumsusia Dr.
Kumbuka sisi bunge letu linaendana na kanuni za mabunge ya jumuiya ya madola. Fuatilia ujue wengine huwa wa nafanyaje?

uko free sasa baada ya kufukuzwa UDOM, vilaza bana
 
Hata wapinzani wakiwemo ndani ya bungee, ccm wakiamua kupitisha chochote wanapitisha, na wameshawahi kupitisha. kwa vl wao ndio majority
 
Wakati unaongea upumbavu wako tafakari tena kwann kila wakati mnaongeaga ujinga kama huo ila uchaguzi ukifika wapinzani wanazidi kuongezeka tu Bungeni
 
Back
Top Bottom