Kosa kuu la tatu la UKAWA

Kosa kuu la tatu la UKAWA

CCM imepata mtelezo.Ikitaka kupitisha jambo lolote bungeni bila vikwazo vya upinzani inamuambia Tulia aongoze bunge. CCM sasa inaweza kuamua lini wapinzani wawepo bungeni na lini wasiwepo kwa kutumia msimamo wa UKAWA dhidi ya Tulia. Haya ni matokeo ya maamuzi ya hasira ya Mbowe. Yatagharimu UKAWA na nchi pia wakati mwingine.

Kuna makosa makuu matatu wanaUKAWA (wale wanaofikiri) tunayajutia sana.Kosa la kwanza ni kukubali Lowassa awe mgombea wetu wa urais.Kosa la pili ni kugomea uchaguzi wa Zanzibar.Na kosa la tatu ni hili la kumgomea Tulia.TUNGOJE.

Acha uongo wako. Yanawagharimu nini? Walitoka nje mwaka ule mswaada wa madini ukapita, wamepata hasara UKAWA au watanzania wote???
 
Kwani ccm wakibaki pekeyao sindio manapitisha mikataba yenye utata kama hii ya kipumbavu ya madini
 
CCM imepata mtelezo.Ikitaka kupitisha jambo lolote bungeni bila vikwazo vya upinzani inamuambia Tulia aongoze bunge. CCM sasa inaweza kuamua lini wapinzani wawepo bungeni na lini wasiwepo kwa kutumia msimamo wa UKAWA dhidi ya Tulia. Haya ni matokeo ya maamuzi ya hasira ya Mbowe. Yatagharimu UKAWA na nchi pia wakati mwingine.

Kuna makosa makuu matatu wanaUKAWA (wale wanaofikiri) tunayajutia sana.Kosa la kwanza ni kukubali Lowassa awe mgombea wetu wa urais.Kosa la pili ni kugomea uchaguzi wa Zanzibar.Na kosa la tatu ni hili la kumgomea Tulia.TUNGOJE.
Mpuuuz ww
 
Siku zote ukiwa na kiongozi anayetazama mwisho mahali aliposimama ndiyo madhara yake maana kama mbowe ndiyo kila kitu ukawa mtapotezwa sana.
Inayopotezwa ni mali asili za tz kwa mikataba mibovu inayosainiwa na viongoz na kupitishwa na wabunge mbumbumbu wa ndiooooo. Ukawa itabaki pale pale na 2020 tutawapa kura zote kama tulivowapa mkakwiba. Jiandaen kukwiba zote maana hakuna namna kwa uhuni na ubabe huu ccm inaofanya haiwez kupendwa na watu labda wawe milofa ka ww
 
Mbowe is a disgrace to the opposition. Hivi huyu jamaa ana mandate ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka mingapi? He's got to step down now!!
Hata akiachia ngaz bado utazd kuisakama cdm maana ww ni mamluk wa kijani. Fanya yako
 
Asiyeona athari za wabunge kususa bunge basi upeo wake ni mdogo sana.
Hivi pamoja na matatizo yote yaliyopo bado hoja zote za serikali zipite kwa ndiooo kubwa kutoka kwa wabunge wa CCM wanainchi wanalionaje bunge?
Wanapokuwa bungeni wanawazuia mabunge ya CCM kupitisha ujinga? badala ya kushawishi wapiga kura waelewe faida za kuwa na wabunge wengi wa upinzani ili Bunge libalance mnakaa hapa kulaumu wabunge wa upinzani!
 
Back
Top Bottom