Je, lowasa anahukumu gani kwa kosa gani kama siyo shutuma za mitaani? Kama kulikuwa na kosa kwa nini kwa miaka 8 aliendelea kuwa huru kwa serikali makini ya CCM? Je, yaliyotokea Zanzibar katika uchaguzi yana akisi utawala wa haki katika demokrasia ya usawa na haki? Je, yanayotokea Bungeni yanaakisi haki na ukweli? Je, huyu Spika na Naibu Spika wapo hapo kweli kwa maslahi na hitaji la Taifa hili leo na sasa, au wapo hapo kwa maslahi ya chama? Ni nani basi aliyewapendekeza? Je, ni wewe kama mwananchi au chama na maslahi yake? Ifike mahali tuache ulimbukeni!!!!!