Korosho Vs Nyanya

Planett

JF-Expert Member
Mar 20, 2014
10,424
15,976
Nyanya ringa tuu ona mwenzio aliringa sana leo ana bandage kichwani.
Capture11.JPG
 
Kilimo cha nyanya ni kamari, unaposema nipumzike wenzako wanapiga. Kama unaweza lima kwa kumwagilia, nashauri kuanzaia mwezi wa 5 panda maharage. Yatakuwa na bei nzuri sana, pia kama ulilima mahindi kwaajili ya Gobo, nashauri acha yakauke utakuja piga pesa hapo baadae.
 
Back
Top Bottom