Kilimo cha nyanya ni kamari, unaposema nipumzike wenzako wanapiga. Kama unaweza lima kwa kumwagilia, nashauri kuanzaia mwezi wa 5 panda maharage. Yatakuwa na bei nzuri sana, pia kama ulilima mahindi kwaajili ya Gobo, nashauri acha yakauke utakuja piga pesa hapo baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.