mwambie mkuu, maana kwa kuwa hatujafika huko bhac kila mtu anajitungia analojisikia,umbea umbea tuIQ ndogo imewawezesha kurusha satellite kwenye orbit.
kwanini na yeye kama anajiamini amuwekee vikwazo, unapigana na mtu huku umemfunga kamba kuguzoni halafu unashangilia, ni kama leo tunawavyo wacheka zimbabwe,mambo mengine ya ajabu kweli, sasa kufua mtoni imekuwa ajabu, hebu nenda chiwata wilayani masasi halafu uje hapa kuleta majibu eboohUmu watu wanaona north korea ni tishio kwa usa. Ni upuuzi kuwaza hivyo north kawekewa vikwazo kama ni tishio mbona anashindwa kuwapiga waliomwekea vikwazo?. Wanaishi katika utumwa wa vikwazo tu.
Kufanya nini?Hivi Kim Jong Un tokea ashike madaraka keshawahi kutoka kwenda ncho yoyote ya nje?
Propaganda za nchi za magharibi jamaa wapo vizuri mno
Mkuu Tokyo 40 hao wafanyakazi wa Kikorea waliopo China wanaweza vipi kuwatumia ndugu zao fedha (nasoma wana vikwazo vya kiuchumi/kifedha).
Nilisoma mahali wana simu zao zinaitwa ararrang, inakuwaje inasemwa wananchi hawana/ wamezuiwa kutumiwa mawasiliano ya Kiteknolojia?
DUUU kweli akili za kibongo shikamooo...mtu anadiriki kusema IQ za Wakorea wa Kaskzni ni ndogo?..Ni nchi pekee duniani isiyodaiwa hata sh.100 na taifa lolote...elimu ya anga za juu(space exploration) wapo vizuri hadi NASA wenyewe wanabaki mdomo wazi...Ukiwa na akili ndogo propaganda za kimarekani zitakufanya ujidharau kinomaaa...
Kuna picha iliwahi kuchukuliwa kule Australia kwenye msitu mkubwa usio na watu. Ikaonyesha mwanga mkubwa kuliko .maeneo yanayokaliwa na watu yakiwemo pwani pwani. So hizi picha sio zA kuzingatia sana...Hii ni picha iliyopigwa kutoka angani.
Tizama Korea ya Kusini, ina umeme wa kutosha. Nchi inang'ara.
Korea ya Kaskazini ipo gizani mpaka mpakani na China ndiyo unaona taa tena.
View attachment 324052
Kuna picha iliwahi kuchukuliwa kule Australia kwenye msitu mkubwa usio na watu. Ikaonyesha mwanga mkubwa kuliko .maeneo yanayokaliwa na watu yakiwemo pwani pwani. So hizi picha sio zA kuzingatia sana...
MpAka leo hawajui sababu sembuse nk wasikoruhusiwa kwenda...