Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
ZAma za propaganda zimepita, hizi ni zama za kutumia kichwa kufikiri. Nashangaa watu wanavitengo vya propaganda eti kuwashawishi waamini uongo kuwa ukweli. Uhuru, Habari leo, Tambwe Hiza na hata hao Waislam waandae Kongamano lao na mazimio yao yatakuwa yao. Lkn naamini kunawaislamu kibao wanauelewa na macho na masikio yao MKURUMA kesho.