katika hali ya kushitua na kushangaza,kesho wakati UDSM wakiwa wameamua kuwa na kongamano kubwa la kujadili uwepo wa katiba mpya,lipo kundi la watu ambao wanadai kuwa ni waislamu na wao wameamua kuitisha kongamano lao kesho ktk ukumbi wa karimjee na wanategemea kutoa matamko mbalimbali lengo ni kuhakikisha kuwa media itaondoa attention kwenye katiba. pia watatoa matamko controversial sana juu ya utawala kuwa JK na serikali yake inahujumiwa na wakristo. pindi tamko likikamilika litawekwa hapa jamvini kwani ndio draft ya kwanza imekuwa tayari. ukumbi wa karimjee umelipiwa na mnene mmoja serikalini. leo mahubiri kwenye misikiti kadhaa DSM yamekuwa yakionyesha kuwa kila mara anapokuwa rais muislam basi anawekewa vikwazo na hata kudhalilishwa na wametoa mifano mingi ya Mwinyi na sasa JK.More 2 come later