Naamini waislam wengi Tanzania haijui vizuri dini yao. Pengine kwa kuwa koran imeendelea kuwa ktk lugha ya kiarabu. Wengi wanategemea tafsiri toka kwa maimam na mashehk nk hata kama ni potofu. Mimi naona waislam siyo tatizo hawezi kuyumbisha nchi kwani hata wao kwa wao hawana umoja. Rejea migogoro ya mara kwa mara misikitini, wakati wa kwenda hija, wengine haitambui BAKWATA, mfuti nk.