Wakuu imekuwaje kondom zimekuwa adimu hivi? Nani anakwamisha haya mambo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama ndo hvyo maambukizi yatakuwa maradufu kwa sababu tangu huu mwaka umeanza bidhaa hii imekuwa adimu sana, hali ni mbaya.
Achana na zike za bure, naongelea dume, tatu bomba nkKwani si mmejigamba yakua hamtaki misaada toka kwa mabeberu, sasa mbona mnalialia?
Juzi kati niliuza gemu, nimezunguka mtaan mpaka jasho likanitokakatika kitu ambacho nikikosa gheto hata za akiba nakosa raha ni condom..
mimi kavu kavu siendi hata kama nakupenda vipi.. nimejifunza kuwa selfish maishani.. hili gonjwa linatesa sana kunywa dawa zake... na bia haziruhusiwi kwenye dozi..
mimi navyopenda bia. nimeamua tu safety first
Mi nipata za Burundi ,znaitwa class Prudence vna chanika tu,
Mkuu kama ndo hvyo maambukizi yatakuwa maradufu kwa sababu tangu huu mwaka umeanza bidhaa hii imekuwa adimu sana, hali ni mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kweli maana kuna demu tulichezeana nyege zikampanda akataka tupige show kavu ila msimamo wangu ulisaidia maana baadae alikuja kuniambia alikuwa kwenye danger na kibaya zaidi alikuwa mwanafunzi wa Advancekaka kuwa selfish na afya yako.. kosa la kuuza gemu usilirudie tena maishani.. ni kosa kubwa sana hilo kwa kijana mwenye ndoto.. hawa dada zetu akili zao ndogo na hawajali afya zao.. ndio tunawapenda ila mwanaume unapaswa kuwa na msimamo kama kichwa cha mahusiano.. wanawake wakilegea tu hawajal afya zao.. sasa huko alipopita zamani unapajuaje?
mimi bila condom najifanya naumwa tumbo mzigo sili... na hata boda boda high way sipandi hata iweje.. safety first
hao unao wataja wanazalisha condom kidogo sana ukilinganisha na condom za msaada. Ndio maana baada ya condom za msaada kuadimika hata hizo za kununua nazo zimekuwa chache mtaani.Achana na zike za bure, naongelea dume, tatu bomba nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, hatari sanahao unao wataja wanazalisha condom kidogo sana ukilinganisha na condom sa msaada toka nje. Ndio maana baada ya condom za msaada kuadimika hata hizo za kununua nazo zimekuwa chache.