Takwimu zinaikataa Simba kushinda derby hii

Takwimu zinaikataa Simba kushinda derby hii

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
23,011
Reaction score
32,907
Wakuu Kuna jambo la hatari linatokea Kila nikiangalia namna Simba inaweza kushinda derby ya tarehe 25 .....ghafla usingizi mazito unanipata nashtuka kesho yake

Lakini Kila nikiiwazia Yanga .,...mambo yanakuwa mwake sana na unaonekana Yanga kushinda 3+

Sababu za takwimu kuikataa Simba
Low morale.....Simba kuelekea derby hii wapo kinyonge sana even if Mashabiki zao wamepoa sana

Mivurugano: Hadi saizi Kunaashabiki wanabishana ....kama watacheza wengine wanasema hawachezi...no commitment btn these 2 figures

NB: Naskia pia miezi hii mbuzi zimeadimika sana kitaa
1750483327899.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Boss naye nasikia kazingua, so kachangia kushusha morali ya timu na mashabiki
 
Mimi ni shabiki mwenye kadi halali ya Simba.

Awamu hii tumeyatimba
 
Back
Top Bottom