agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,414
Watumiaji mmekuwa wengi
Wewe huwa hutumii kabisaa ?Watumiaji mmekuwa wengi
Sina wakutumia naeWewe huwa hutumii kabisaa ?
Upo serious ?Sina wakutumia nae
Kwani kondomu nayo ni msaada?Kwani si mmejigamba yakua hamtaki misaada toka kwa mabeberu, sasa mbona mnalialia?
Unawezaupata kwa njia nyinginekatika kitu ambacho nikikosa gheto hata za akiba nakosa raha ni condom..
mimi kavu kavu siendi hata kama nakupenda vipi.. nimejifunza kuwa selfish maishani.. hili gonjwa linatesa sana kunywa dawa zake... na bia haziruhusiwi kwenye dozi..
mimi navyopenda bia. nimeamua tu safety first
kama ulikuwa hujui basi taarifa ndio hiyoKwani kondomu nayo ni msaada?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye nini?
PapuchiKwenye nini?
Safi sanakatika kitu ambacho nikikosa gheto hata za akiba nakosa raha ni condom..
mimi kavu kavu siendi hata kama nakupenda vipi.. nimejifunza kuwa selfish maishani.. hili gonjwa linatesa sana kunywa dawa zake... na bia haziruhusiwi kwenye dozi..
mimi navyopenda bia. nimeamua tu safety first