JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Magoli ya Senegal yamefungwa na Ismaila Sarr na Kalidou Koulibaly, hivyo kuungana na Uholanzi iliyoifunga Qatar magoli 2-0.
Mechi za Kundi hilo zimemalizika Uholanzi ikiwa na pointi (7), Senegal (6), Ecuador (4) na wenyeji Qatar (0)