Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,380
wakuu sidhani kama wanawake wanaweza kuwa makomando??? ni kazi ngumu sana saaanaaa...sidhani... ni kuwaonea tu...wanaume tu, si wote wanaoweza kuwa wapiganaji let alone majemadari?? ndio wanawake?? tafadhalini mama zetu, tunawaheshimu na kuwapenda sana lakini kwa hili mtusamehe tu...doh..
Tetete bado huamimi wanawake tunaweza jamani bila hata ya kuwasamehe tunaweza. Na ukimkuta mwanamke komandoo mama yangu kaa mbali atakuwa hatareeeee.
Kama alivyo vizuri ktk kupenda basi na kuchukia na kufanya mauaji ni hvyhvy