Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
Museven aliwapa miezi miwili polisi na wanajeshi kuondoa vitambi vyao kwa namna yoyote wakishindwa wanakuwa wamejiondoa wenyewe kwenye majeshi yao kwa kukosa sifa ya kuwa sojaz.
Ilikuwa kivumbi pale Uganda.
Ilikuwa kivumbi pale Uganda.