Komando kitambi umeuthibitishia umma obesity haiathiri performance

Komando kitambi umeuthibitishia umma obesity haiathiri performance

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
22,477
Reaction score
21,039
Katika kitu ambacho niliki note siku ya maazimisho ya miaka 55 ya uhuru ni speed ,power ,performance, accuracy na ukomavu mwili wa yule komando mtu mzima kidogo mwenye kitambi !!

Ama kweli ameuthibishia na ku prove wrong walimwengu kuwa kitambi kinapunguza performance ya masuala yanayotumia nguvu na pumzi ,nina uhakika hata kwenye masuala yetu yale ya 6×6 sio sababu ya kupiga cha fasta na kutokurudia labda kuwe na sababu tu zingine

Au wadau mnasemaje[emoji12]
 
Kweli aiseee.

Kuna mahali niliwahi kusoma kuwa moja ya kazi za kitambi kwa mwanaume rijali ni kuhifadhi pia nguvu za ziada kwa ajili ya kugegedana in case nguvu za kawaida ziko depleted.

Kitambi ni asset muhimu ya kulinda kama mboni ya jicho.
 
Watu wanashindwa Kutambua Sex ni Art,Kwahiyo Ni Ufundi tu na Ubunifu,Ukiwa Fasta Basi Fanya Mazoezi ya Kergel kudhibiti hiyo hali na kurudia mzigo basi tumia withdral technic.

Komando Kitambi na Baloteli walitisha.
 
Weka picha yake hapa tafadhali. Bila picha hainogi maana wengine hatukupata wasaa wa kutazama.
 
Watu wanashindwa Kutambua Sex ni Art,Kwahiyo Ni Ufundi tu na Ubunifu,Ukiwa Fasta Basi Fanya Mazoezi ya Kergel kudhibiti hiyo hali na kurudia mzigo basi tumia withdral technic.

Komando Kitambi na Baloteli walitisha.
We mtu ulikua wapi[emoji28]
 
Yaani wa TZ wako nyuma sana upuuzi na michezo ya kitoto eti makomandoo imekuwa ni sifa. Kwa wenzetu ile ni michezo ya watoto. Wacheni hizo
 
Yaani wa TZ wako nyuma sana upuuzi na michezo ya kitoto eti makomandoo imekuwa ni sifa. Kwa wenzetu ile ni michezo ya watoto. Wacheni hizo
acha kupotosha kwa wenzetu gani mbona tunaona majeshi ya kisasa kabisa kama ya china na russia wakifanya show za vile ,usijitie kujua bure!
 
Jitahidini mvipunguze, tutaendelea kuokoa ndoa zenu hadi lini?!
Kitambi ni mzigo
 
Yaani wa TZ wako nyuma sana upuuzi na michezo ya kitoto eti makomandoo imekuwa ni sifa. Kwa wenzetu ile ni michezo ya watoto. Wacheni hizo
Wenzako kina nani nanga wewe!! Watu wanaongelea vitambi wewe unaleta story za wenzako, akina na ni sasa!!
 
Vitambi vingine vinapunguza performance bwanaa kitambi kinafunika mpaka makagali na ukikutana na ke mwenye kitambi sasa ni mission impossible tena Vitambi ndio vinasababisha watu kuwa na vibamia
31e61e73484fa3ab12c10bcbc7e6ad6a.jpg
 
Back
Top Bottom