mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,039
Katika kitu ambacho niliki note siku ya maazimisho ya miaka 55 ya uhuru ni speed ,power ,performance, accuracy na ukomavu mwili wa yule komando mtu mzima kidogo mwenye kitambi !!
Ama kweli ameuthibishia na ku prove wrong walimwengu kuwa kitambi kinapunguza performance ya masuala yanayotumia nguvu na pumzi ,nina uhakika hata kwenye masuala yetu yale ya 6×6 sio sababu ya kupiga cha fasta na kutokurudia labda kuwe na sababu tu zingine
Au wadau mnasemaje[emoji12]
Ama kweli ameuthibishia na ku prove wrong walimwengu kuwa kitambi kinapunguza performance ya masuala yanayotumia nguvu na pumzi ,nina uhakika hata kwenye masuala yetu yale ya 6×6 sio sababu ya kupiga cha fasta na kutokurudia labda kuwe na sababu tu zingine
Au wadau mnasemaje[emoji12]