Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

Mi na maon bora tukakod li alshabab moja kabla hawajaondoka waje wamalizie pale tcra nafikri roho zitawatua sasa
 
hii hali ni ngum sana hasa wananchi wenye kkpato cha chini Tanzania tunakoenda ni majanga matupu
 
Hatujamalizana na katiba, bado tunashughulikia issue ya westgate wao wamekuja kwa staili ya kutupotezea muda.

Manina zao!!!
 
Mbona mnalipa kodi nyingine nyingi.

Badala ya kulalamikia PAYE ishuke mnalalamikia tozo la simu.

Hongera serikali kwa kutokukubali kuyumbishwa na wanasiasa.
watu wengine wanachekesha kweli PAYE really???hivi watu wangapi wameajiriwa mpaka PAYE iwe big deal kwa takwimu tu za kawaida most people in tanzania are either at xul or jobless and some are not into working a.k.a jobless bt no regrets....and very very very few employed and self employed so kodi ya sim card ni too much and for what???dis country has failed to manage vast of resources it has why adding other money even kwny sheria za uchumi hauwezi taka kuongezewa mtaji kama hata ulichonacho ujakifanyia lolote???
 
Wabongo bana. Badala ya kujadili mada wanajadili post ya Juliana Shonza.

Tena wawezakuta kaweka post yake makusudi ili ku-divert attention na kweli wabongo wamekuwa diverted na kuanza kumjadili yeye.
 
Mh. Chenge, wananch wa Bariad tunamatatzo makubwa sana kiuchumi. Kumbuka serikal imeshndwa kutuhakikishia soko zuri la pamba na hivyo wakulima tumeingia hasara kubwa mno. Chakuskitisha inaonekana hujal wala hujui kabisa shida zetu na unazdi kuleta hoja kandamiz dhid ya wanyonge. Acha mtuumize kwa mda huu mfupi kabla hatujafanya maamuz ya busara 2015.
 
...sijawahi kuona mwanamke mnafki kama wewe...? ungekuwa karibu ningekunasa kibao..


Mwanamke asiyewajali wa nyumbani mwake! Mkulima mlala hoi kijijini kwako unaona raha kumkandamiza kwa kuwafurahisha mafisadi wa mjini! Unajiangalia wewe na vipesa vyako vya kupaka rangi kucha! Hebu waangalie ndugu zako ..... loh mwanamke wewe! Nina wasiwasi kama wewe ni Juliana Shonza nimfahamuye!
 
Mie sipingi kabisa kulipa kodi yoyote kwa maendeleo ya nchi yangu.Nipo tayari kukatwa kodi ya SIM,nipo tayari kuchangia ujenzi wa reli ya Kati,nipo tayari kuchangia ujenzi wa barabara na nipo tayari kuchangia ujenzi wa miundo mbinu ya ujenzi ya umeme kama nitahitajika kufanya hivyo.

Lakini kabla ya kuanza kuchangia,ninaomba mniambie wale wote waliohusika na kesi za kifisadi za Richmond,EPA,na nyingine mbalimbali mmewachukulia hatua zipi mpaka sasa!La sivyo mtakuwa mnanifanya niamini huu pia utakuwa ni mradi wa kufanikisha ufisadi kama miradi mingine iliyofanyika ambayo wahusika mmeshindwa kuwachukulia hatua.

Hamuwezi kutuambia tuwe WAZALENDO kwa nchi yetu, kwa kuchangia kodi mbalimbali wakati nyie viongozi mmeshindwa kuwa WAZALENDO wa nchi yenu kwa kuwakamata na kuwashitaki wale wote waliohusika kwenye matumizi mabaya ya kodi za nchi ambazo tumekwishachangia mpaka sasa!

HAIWEZEKANI!

Unless mtuambie kuwa hv sasa nchi hii imekuwa ya ki-dicteta,na mnaweza kutufanyia vyovyote mnavyotaka bila kutushirikisha sisi wananchi katika maamuzi makubwa kama haya!

Bila kuwachukulia hatua hawa MAFISADI waliotuhumiwa kwenye matukio hayo ya kifisadi yaliyokwishafanyika naomba mjue tu kuwa sitashiriki katika zoezi hilo na kama mtachukua kodi hiyo kwa nguvu basi tambueni kuwa SITAITAMBUA RASMI SERIKALI HII kwani sidhani kama kuna serikali ya aina hiyo DUNIANI na AKHERA!

ACHENI UNAFIKI!
 
Mamlaka ya mapato nchini(TRA) imeandika waraka kwenda kwa makampuni ya simu nchini kuagiza kuanza utekelezaji wa kukata kodi ya laini ya simu.Kodi hiyo ni kuanzia July 30 mpaka september mwaka huu.Hii ina maana kwamba kila mtumiaji atakatwa sh 3000 ikiwa ni kodi ya mwezi July,August na September.Kwa maana hiyo mwenye laini mbili atakatwa sh 6000 na mwenye laini tatu atakatwa sh 9000.

Na katika hatua nyingine wateja milioni 8 simu zao kufungwa.

Kwa taarifa zaidi soma gazeti la Tanzania Daima

CHANZO:TANZANIA DAIMA ONLINE

MY TAKE:
Hii inaweza kuwa ni mbinu ya kuhamisha "attention" ya watu kutoka kwenye issue ya katiba na kutupeleka kwenye issue ya tozo za line za simu!

Tafakari na kisha chukua hatua!

Well said.
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.

Wewe mal...ya ushazoea kukatwakatwa ovyoo...msubiri gaidi nchembi aje kukukata tigo kwanza ili ujiskie fahari zaidi nyamafu weeee...
 
Dah! TANZANIA unatupeleka wapi waja wako? Viongoz hebu iweni na huruma kwa sisi wananchi wa pato la chini. Mbona vyanzo vya mapato ni vingi mno ktk Tanzania yetu yenye neema! Ah, haya bwana.
 
I had four sim cards tiGO , Vodacom, Airtel and Zantel. Sasa hv naweka credit kwenye airtel tu. Wakitaka hizo zingine wafungie tu
 
Shilingi 1000 kwa mwezi ni sawa na shilingi 33 kwa siku.
Mbona caller tunes Mnalipia zaidi ya shilingi 30 kwa siku + 360..
kwa makampuni ambayo hayalipi kodi (Push mobile) na hamlalamiki!!!!?.
Swali tu!

Mkuu LIBRARY, tofauti ya tozo la kodi na hiyo caller tune ni kwamba caller tune ni optional wakati kodi sio optional. Sitaki kuamini kuwa kila mtumiaji wa simu nchini anatumia huduma ya caller tune (hata mimi mwenyewe situmii hiyo huduma japokuwa kipato changu zaidi ya dola 10,000 kwa mwaka). In fact tunachoangalia hapa ni multiple taxation, kwa kuwa kila tunaponunua vocha tunakatwa tax na pengine kila tunapofanya mawasiliano pia. Kuongeza tena kodi ya line ni kuwatwisha zigo wananchi.

Imefika hatua wananchi wanaamini kuwa serikali inaogopa kutoza kodi makampuni makubwa, inakimbilia kwa wanyonge wao wananchi. Kwa hiyo suala la kodi ya line lazima liangaliwe kwa mapana hayo badala ya kuangalia economic position yetu individually.

I stand to be corrected.
 
kuna kosa lilifanyika katika kupanga hii bei, walitumia akili ndogo saaaana au huo ndo ulikua mwisho wao kufikiri na kutengeneza fairness, makampuni yote ya mitandao yana data ya kiasi mteja anatumia kwa mwezi,ushauri wangu wangeweka tulipe in terms of percentage of what u re using in a months eg wangesema 5percent ya kile mteja anatumia kwa mwezi,mfano mimi natumia kiasi X so kodi yangu ingekua 0.5X, lakini hii ya saiv eti mi nalipa sawa na mengi,na chenge na bakhresa na matonya na bibi angu huku ushirombo.Sheeeeeet ccm
 
Nini kilichofanya serikali kufuta kodi ya maendeleo au kodi ya kichwa? Wana uhakika gani kuwa hizo pesa watazikusanya zote? Kama mtu ana laini 2 akiamua kutupa moja na kubakiwa na moja,hiyo aliyotupa atailipia nani?
Dalili nyingine ya kushuka kwa kiwango cha elimu
 
Jamani nyie uyo bnt hamjamuelewa yaan anamaanisha akupigae shav la kushoto mgeuzie na la kulia mtu akikuambia kimbia mail moja we nenda mbili
 
Back
Top Bottom