Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

Juliana Shonza

Viposho na pesa unazohongwa ndizo zinazokupa jeuri ya kuongea upumbavu wakati ndugu zako hawana uwezo wa kulipa hizo pesa,mbona mnajisahau nyie? Wewe utatumika utapata pesa utalipa je wazazi wako nani awatafune huko kijijini awape pesa ya kulipia line?
 
nchi yangu tz, jina lako ni tam sana(cryin too)

Juz kati apa nliweka jero kene simu nataka kujiunga,nlipoanza process nkaambiwa ongeza salio kwanza.Nadhani ata mm nimeanza kulipa kwa Installment isiyokuwa na Agreement. Nafikiria kurejea kene S.L.P. yangu.
 
Back
Top Bottom