Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

kwa line zaidi ya m20 ni wazi CCM watakuwa wakichukua 2bn kila siku..finally kila mwizi watakuwa na 60bn...za kutosha kabisa kuwaaambia watanzania hawana dhambi kwa vile uovu wa CCM 2015 utakuwa financed na watanzania wote wenye line za simu...

20,000,000*tzs 32= 640,000,000. esabu haitaji blabla aaaaaaaaaaaaa
 
Watanzania ni lini mtajifunza kuchangia maendeleo ya nchi yenu? lazima muanze kujifunza utamaduni huu wa kulipa kodi zilizowekwa na serikali kwani ni mambo mengi yanahitajika katka kuleta maendeleo na kutoa huduma, Onyo kwa wanasiasa muiache serikali ya ccm itekeleze sera na ahadi zake na kama zinawaumiza wananchi basi ni wao ndio watakao amua kuiunga.mkono ama kutokuiunga mkono.
 
Mbona mnalipa kodi nyingine nyingi.

Badala ya kulalamikia PAYE ishuke mnalalamikia tozo la simu.

Hongera serikali kwa kutokukubali kuyumbishwa na wanasiasa.
We unafikiri kila mtu ameajiriwa?
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.

Nasikitika sana kuwa na watu wa namna hii hapa Duniani
 
Kwa iyo mi nalipa sawa na Bakhresa sio?

Ila sipingi, kwani huenda ni mpango wa Mungu, tuingie madarakani kwa ushindi wa kimbunga.
Kweli kabisa wtz wote hasa wa vijijini wanaopaswa kulipa kodi wengekuwa wanalipa, ccm ingekuwa ishaondoka madarakani kitambo.
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.

Wewe nawe ni miongoni mwa Watanzania milioni 44.9 aisee. Kwenye sense ijayo lazima tulazimishe baadhi ya vipengele viwepo.
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.
Juliana Shonza unajua maana ya ulichokiandika kweli? Kama wakikata kuanzia januari si utachangia elfu 12 tu kwa mwaka. Kwa hiyo unajiona mzalendo sana kwa kuchangia taifa lako shilingi elfu 12 tu kwa mwaka? Kijana kama wewe ni aibu kutamba mbele za watu kwa kodi ya elfu 12 kwa mwaka. Kwa elimu yako na ujana wako ulipaswa kuajiri watu kibao na ungekuwa unalipa kodi zaidi ya hiyo elfu 12 kwa mwaka. Tafakari, acha kuulia maandazi ujana wako uzee utakuumbua.
 
Last edited by a moderator:
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.
Na bado utakatwa sana mpaka hiyo senta bolt ikatike!!
 
mbona hili linatekelezwa kila siku.wanakata sh 33 kwa siku.
 
Ifike wakati wananchi tuchukue maamuzi, ''Wote tuliopo kwenye malipo ya kabla tususe kuongeza salio''.
 
No way out but way In. Siku hizi ukizubaa kidogo tu Lazima ukatwe...
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.

Kilanga chako kisikutoe akili. Hivi mtu akijiunga CCm lazima ajifanye hamnazo eeh? Huko nyuma haukuwa hivyo, Hoyo Mwigulu nchembi mtu mbaya sana!
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.
Na ile biashara yako nyingine unayofanyaga kwa siri ya kuuza ............... vipi kodi unalipa????!!!
 
ipo siku mwisho utafika,ipo siku mnyonge wa kitanzania atakua na sauti kama walivyo na watu wengine wenye nafasi ktk...........................
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.

Umnafiki wewe sijui nani kakupa uanachama katika chama chetu,unajisikia fahari leo baada ya kuja huku kama mamluki,kipindi kile upo CDM sikukuona ukisifia serikali ya CCM,tuachie Chama Chetu cha CCM
 
Ukweli inaumiza wananchi Maskini
#Ex Tanzania simper aliquid novi#
 
Back
Top Bottom