20,000,000*tzs 32= 640,000,000. esabu haitaji blabla aaaaaaaaaaaaa
Shilingi 1000 kwa mwezi ni sawa na shilingi 33 kwa siku.
Mbona caller tunes Mnalipia zaidi ya shilingi 30 kwa siku + 360..
kwa makampuni ambayo hayalipi kodi (Push mobile) na hamlalamiki!!!!?.
Swali tu!
...sijawahi kuona mwanamke mnafki kama wewe...? ungekuwa karibu ningekunasa kibao..
Uwezo huo huna wewe,mimi ni mwanamke wa shoka ww
umeshindwa kutumia jina lako halisi dalili ya uwoga na ni aibu mwanaume wa kweli ni jasiri.
Wanafiki mnao huko chadomo maana walisema cuf ni ccm b leo hii eti wameungana nao
kama sio unafiki na kukosa dira ni nini?
poor you![KUMBE UPO NKAJUA WAMESHA KUDAMPO BAADA YA KUKUTUMIA.
Wewe mbona 'unakatwa' siku nyingi tu
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.
Uwezo huo huna wewe,mimi ni mwanamke wa shoka ww
umeshindwa kutumia jina lako halisi dalili ya uwoga na ni aibu mwanaume wa kweli ni jasiri.
Wanafiki mnao huko chadomo maana walisema cuf ni ccm b leo hii eti wameungana nao
kama sio unafiki na kukosa dira ni nini?
poor you![KUMBE UPO NKAJUA WAMESHA KUDAMPO BAADA YA KUKUTUMIA.
Hahaaa kila siku nawaambia hapa kwangu mtasubiri sanaaaaaa nyie semeni weee mi nabang tu na ccm yangu mjiandae 2015 tutawafunga mdomo.
Pole sana kwa kuhangaika..km umezaliwa wa kuhangaika utahangaika sana...hadi kufa kwako....Kwani habari inahusu gazeti aua uhasilia wake..hembu uliza hao waajiri wako wapya km ni uongo..Nasikia kuna habari mkiulizana mnashutumiwa kuwa CDM...
Huwezi kuwa kambi ya alqaeda halafu ukatete kafir wakabaki na imani nawe.Unatakiwa kuwa na mapenzi na fani yako na si mwajiri wako....mwajiri anaweza kupiga chini kwa njia nyingi sana..tena kipidi hujajiandaa...mwajiri akikuchukia, akibadili uongozi, akifilisika, akiamua bana matumizi na kupunguza watu, ...CCM kabala ya kukutimua ataflia kwanza ....
Mwanamke asiyewajali wa nyumbani mwake! Mkulima mlala hoi kijijini kwako unaona raha kumkandamiza kwa kuwafurahisha mafisadi wa mjini! Unajiangalia wewe na vipesa vyako vya kupaka rangi kucha! Hebu waangalie ndugu zako ..... loh mwanamke wewe! Nina wasiwasi kama wewe ni Juliana Shonza nimfahamuye!
Wabongo bana. Badala ya kujadili mada wanajadili post ya Juliana Shonza.
Tena wawezakuta kaweka post yake makusudi ili ku-divert attention na kweli wabongo wamekuwa diverted na kuanza kumjadili yeye.
Mamlaka ya mapato nchini(TRA) imeandika waraka kwenda kwa makampuni ya simu nchini kuagiza kuanza utekelezaji wa kukata kodi ya laini ya simu.Kodi hiyo ni kuanzia July 30 mpaka september mwaka huu.Hii ina maana kwamba kila mtumiaji atakatwa sh 3000 ikiwa ni kodi ya mwezi July,August na September.Kwa maana hiyo mwenye laini mbili atakatwa sh 6000 na mwenye laini tatu atakatwa sh 9000.
Na katika hatua nyingine wateja milioni 8 simu zao kufungwa.
Kwa taarifa zaidi soma gazeti la Tanzania Daima
CHANZO:TANZANIA DAIMA ONLINE
MY TAKE:
Hii inaweza kuwa ni mbinu ya kuhamisha "attention" ya watu kutoka kwenye issue ya katiba na kutupeleka kwenye issue ya tozo za line za simu!
Tafakari na kisha chukua hatua!
Hahaaaa eti vipesa vyakupaka rangi kucha ,we unajua hayo tu ndo upeo wako wakufikiri ulipofikia na ww.
Serikali isiyokusanya kodi ni legelege
ccm si serikali legelege ni lazima ikusanye kodi ili kupush maendeleo
Tatizo lenu mnaleta mahaba ya vyama kwenye mambo ya msingi,kila kitu mmezoea kupinga.
kwakifupi hamueleweki.
Tozo liko palepale