Chumba kimoja weka pesa na vitu vyako vingine huku mhudumu ukimwambia kuwa jamaa yako arakayekitumia yuko njiani na atafika muda wowote. Vifiche vizuri lakini, shauri yako.
Chumba cha pili ndo ulale na huyo uliyemnunua huku mfukoni ukiwa na pesa yake TU basi! Ziada mfukoni humo labda mipira tu. Lakini ili asikustukie ongeza na mswaki na dawa ya meno.
My friend, itakugharimu malipo ya bure ya chumba kimoja zaidi (pengine 20k) lakini itakuepushia risk ya kupoteza malaki na mamilioni. Ukiibiwa kwa mbinu hii, njoo na risiti nikurudishie pesa yako.
Chumba cha pili ndo ulale na huyo uliyemnunua huku mfukoni ukiwa na pesa yake TU basi! Ziada mfukoni humo labda mipira tu. Lakini ili asikustukie ongeza na mswaki na dawa ya meno.
My friend, itakugharimu malipo ya bure ya chumba kimoja zaidi (pengine 20k) lakini itakuepushia risk ya kupoteza malaki na mamilioni. Ukiibiwa kwa mbinu hii, njoo na risiti nikurudishie pesa yako.