mawaridi
Member
- Aug 30, 2015
- 47
- 123
Mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) usiku huu imetangaza kumsainisha mkataba mpya Kocha wao Nasredeen Nabi
Prof Nabi amesaini mkataba wa miaka miwili utakaomuweka Yanga mpaka mwaka 2024
Nabi kusaini mkataba huo mpya anamaliza uvumi uliokuwa unaenea kuwa kocha huyo anaondoka Yanga na kwenda timu ya Wydad AC ya Morocco
Prof Nabi amesaini mkataba wa miaka miwili utakaomuweka Yanga mpaka mwaka 2024
Nabi kusaini mkataba huo mpya anamaliza uvumi uliokuwa unaenea kuwa kocha huyo anaondoka Yanga na kwenda timu ya Wydad AC ya Morocco