Simba sc kumfukuza kocha Robertinho siyo mwarobaini wa kupata matokeo mazuri haswa katika kipindi hiki kigumu chenye presha ya mashabiki.

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,726
NALIA NGWENA niliwahi kuandika humu kuhusu janja janja na upigaji unaotengenezwa na viongozi wa Simba sc kuhusu kumuajili MTU wa scouting ambaye kiuhalisia hakuwa na kazi yoyote Bali akiwekwa Kama kivuli tu lakini Kuna kundi la viongozi linalosajili wachezaji na kujipatia 10 percent.

Je kumtimua Robertinho ni mwarobaini wa kuleta matokeo Chanya na furah kwa wanasimba?

Jibu hapana hatakama Simba sc itamleta Morinho kutoka ughaibuni atafukuzwa tu kwa kuwa Kuna USWAHILI mwingi katika kuendesha timu haswa linapokuja suala la kusajili wachezaji Bora na wenye viwango.

Hakuna kocha anayeweza kuvumilia katika suala la kupangiwa kikosi na wazee wa ten percent ili mchezaji wao acheze na wapate kilichokuwa Chao katika mifuko Yao.

Ipo wazi bila ya kificho kuwa Manula siyo pendekezo la kocha katika mechi ya juzi due to match fitness lakini wazee wa ten percent walilazimisha Hilo na kumpangia kocha kikosi.

Nani asiyejua kuwa Chama hakua katika mfumo wa kocha Robertinho!? Kilichotokea tumekiona baada ya kumtoa nje viongozi na mashabiki oya oya walipiga kelele Chama arudi hata Kama Hana kiwango.

Kocha ni kocha tu huyu Robertinho ndiyo katuletea kibu Denis mpaka kwenye timu ya taifa anaitwa, hiyo ni baada ya Robertinho kumuacha Pape osumain Sakho na kumchagua Kibu Denis.

Nelson Okwa baada ya kutimuliwa pale msimbazi aliwafungua ubongo mashabiki kwa kuwaambia kuwa "viongozi wa Simba sc hupanga wachezaji wanaowataka" huu ni ukweli usiopingika.

Maoni Yangu: Simba sc kumfukuza Robertinho siyo mwarobaini wa kutengeneza kikosi Bora ninachokiona mabadiliko yaanze kwenye uongozi kwanza kwani uongozi Bora na utendaji Bora huleta mafanikio Chanya.
IMG-20231107-WA0017.jpg
 
Timu inafukuza kocha Kila siku kwani shida ni Nini?, management ina tatizo tena kubwa, huku ni kupooza joto tu kwasababu wanajua wanaongoza kondoo, wewe timu ilisajili mawinga Tisa!, seriously winga tisa, tena karibu wote hamna kitu labda wawili watatu, imagine Hadi Sasa timu Haina proper defensive midfielder, this is insane. Hadi Sasa Simba ina wachezaji mizigo eti inawavumilia utafikiri ndugu zao kumbe wanagawana posho, pathetic kabisa...
 
Timu inafukuza kocha Kila siku kwani shida ni Nini?, management ina tatizo tena kubwa, huku ni kupooza joto tu kwasababu wanajua wanaongoza kondoo, wewe timu ilisajili mawinga Tisa!, seriously winga tisa, tena karibu wote hamna kitu labda wawili watatu, imagine Hadi Sasa timu Haina proper defensive midfielder, this is insane. Hadi Sasa Simba ina wachezaji mizigo eti inawavumilia utafikiri ndugu zao kumbe wanagawana posho, pathetic kabisa...
Hata kocha atakayekuja atafukuzwa tu Simba sc haitasajili wachezaji wazuri
 
NALIA NGWENA niliwahi kuandika humu kuhusu janja janja na upigaji unaotengenezwa na viongozi wa Simba sc kuhusu kumuajili MTU wa scouting ambaye kiuhalisia hakuwa na kazi yoyote Bali akiwekwa Kama kivuli tu lakini Kuna kundi la viongozi linalosajili wachezaji na kujipatia 10 percent.

Je kumtimua Robertinho ni mwarobaini wa kuleta matokeo Chanya na furah kwa wanasimba?

Jibu hapana hatakama Simba sc itamleta Morinho kutoka ughaibuni atafukuzwa tu kwa kuwa Kuna USWAHILI mwingi katika kuendesha timu haswa linapokuja suala la kusajili wachezaji Bora na wenye viwango.

Hakuna kocha anayeweza kuvumilia katika suala la kupangiwa kikosi na wazee wa ten percent ili mchezaji wao acheze na wapate kilichokuwa Chao katika mifuko Yao.

Ipo wazi bila ya kificho kuwa Manula siyo pendekezo la kocha katika mechi ya juzi due to match fitness lakini wazee wa ten percent walilazimisha Hilo na kumpangia kocha kikosi.

Nani asiyejua kuwa Chama hakua katika mfumo wa kocha Robertinho!? Kilichotokea tumekiona baada ya kumtoa nje viongozi na mashabiki oya oya walipiga kelele Chama arudi hata Kama Hana kiwango.

Kocha ni kocha tu huyu Robertinho ndiyo katuletea kibu Denis mpaka kwenye timu ya taifa anaitwa, hiyo ni baada ya Robertinho kumuacha Pape osumain Sakho na kumchagua Kibu Denis.

Nelson Okwa baada ya kutimuliwa pale msimbazi aliwafungua ubongo mashabiki kwa kuwaambia kuwa "viongozi wa Simba sc hupanga wachezaji wanaowataka" huu ni ukweli usiopingika.

Maoni Yangu: Simba sc kumfukuza Robertinho siyo mwarobaini wa kutengeneza kikosi Bora ninachokiona mabadiliko yaanze kwenye uongozi kwanza kwani uongozi Bora na utendaji Bora huleta mafanikio Chanya.View attachment 2806793
Wakulaumiwa siyo kocha ni Mganga
 
NALIA NGWENA niliwahi kuandika humu kuhusu janja janja na upigaji unaotengenezwa na viongozi wa Simba sc kuhusu kumuajili MTU wa scouting ambaye kiuhalisia hakuwa na kazi yoyote Bali akiwekwa Kama kivuli tu lakini Kuna kundi la viongozi linalosajili wachezaji na kujipatia 10 percent.

Je kumtimua Robertinho ni mwarobaini wa kuleta matokeo Chanya na furah kwa wanasimba?

Jibu hapana hatakama Simba sc itamleta Morinho kutoka ughaibuni atafukuzwa tu kwa kuwa Kuna USWAHILI mwingi katika kuendesha timu haswa linapokuja suala la kusajili wachezaji Bora na wenye viwango.

Hakuna kocha anayeweza kuvumilia katika suala la kupangiwa kikosi na wazee wa ten percent ili mchezaji wao acheze na wapate kilichokuwa Chao katika mifuko Yao.

Ipo wazi bila ya kificho kuwa Manula siyo pendekezo la kocha katika mechi ya juzi due to match fitness lakini wazee wa ten percent walilazimisha Hilo na kumpangia kocha kikosi.

Nani asiyejua kuwa Chama hakua katika mfumo wa kocha Robertinho!? Kilichotokea tumekiona baada ya kumtoa nje viongozi na mashabiki oya oya walipiga kelele Chama arudi hata Kama Hana kiwango.

Kocha ni kocha tu huyu Robertinho ndiyo katuletea kibu Denis mpaka kwenye timu ya taifa anaitwa, hiyo ni baada ya Robertinho kumuacha Pape osumain Sakho na kumchagua Kibu Denis.

Nelson Okwa baada ya kutimuliwa pale msimbazi aliwafungua ubongo mashabiki kwa kuwaambia kuwa "viongozi wa Simba sc hupanga wachezaji wanaowataka" huu ni ukweli usiopingika.

Maoni Yangu: Simba sc kumfukuza Robertinho siyo mwarobaini wa kutengeneza kikosi Bora ninachokiona mabadiliko yaanze kwenye uongozi kwanza kwani uongozi Bora na utendaji Bora huleta mafanikio Chanya.View attachment 2806793
Mnafiki wewe
 
Hakuna kiongozi Simba , Kama kungekuwa na kiongozi mwenye uchungu lazima angejiuzulu kwa kipigo tulichopata Ila kwa sababu wapo kwa ajili ya matumbo yao ndio maana wapo kimya.
Halafu yanga ache I ndoto za kufikirisimba watamwacha Chama
 
Hakuna kiongozi Simba , Kama kungekuwa na kiongozi mwenye uchungu lazima angejiuzulu kwa kipigo tulichopata Ila kwa sababu wapo kwa ajili ya matumbo yao ndio maana wapo kimya.
Halafu yanga ache I ndoto za kufikirisimba watamwacha Chama
Wamuache au wasimuache Chama hakuna faida kwa Yanga kwasababu aina ya mpira unaochezwa Yanga, haumuhitaji Chama na pia Chama saivi amekuwa na u father mwingi pale Simba hata mipira ya 50 kwa 50 hataki kuingiza mguu kui win
 
NALIA NGWENA niliwahi kuandika humu kuhusu janja janja na upigaji unaotengenezwa na viongozi wa Simba sc kuhusu kumuajili MTU wa scouting ambaye kiuhalisia hakuwa na kazi yoyote Bali akiwekwa Kama kivuli tu lakini Kuna kundi la viongozi linalosajili wachezaji na kujipatia 10 percent.

Je kumtimua Robertinho ni mwarobaini wa kuleta matokeo Chanya na furah kwa wanasimba?

Jibu hapana hatakama Simba sc itamleta Morinho kutoka ughaibuni atafukuzwa tu kwa kuwa Kuna USWAHILI mwingi katika kuendesha timu haswa linapokuja suala la kusajili wachezaji Bora na wenye viwango.

Hakuna kocha anayeweza kuvumilia katika suala la kupangiwa kikosi na wazee wa ten percent ili mchezaji wao acheze na wapate kilichokuwa Chao katika mifuko Yao.

Ipo wazi bila ya kificho kuwa Manula siyo pendekezo la kocha katika mechi ya juzi due to match fitness lakini wazee wa ten percent walilazimisha Hilo na kumpangia kocha kikosi.

Nani asiyejua kuwa Chama hakua katika mfumo wa kocha Robertinho!? Kilichotokea tumekiona baada ya kumtoa nje viongozi na mashabiki oya oya walipiga kelele Chama arudi hata Kama Hana kiwango.

Kocha ni kocha tu huyu Robertinho ndiyo katuletea kibu Denis mpaka kwenye timu ya taifa anaitwa, hiyo ni baada ya Robertinho kumuacha Pape osumain Sakho na kumchagua Kibu Denis.

Nelson Okwa baada ya kutimuliwa pale msimbazi aliwafungua ubongo mashabiki kwa kuwaambia kuwa "viongozi wa Simba sc hupanga wachezaji wanaowataka" huu ni ukweli usiopingika.

Maoni Yangu: Simba sc kumfukuza Robertinho siyo mwarobaini wa kutengeneza kikosi Bora ninachokiona mabadiliko yaanze kwenye uongozi kwanza kwani uongozi Bora na utendaji Bora huleta mafanikio Chanya.View attachment 2806793
Wamepunguza kelele za mashabiki lakini hawajatatua tatizo lililopo la ubovu wa wachezaji na uongozi ulio wasajiri hao wachezaji ambao viwango vyao vimeshuka hata mashabiki mbumbumbu makelele yao husababisha kuwarudisha wachwzaji wa zamani ambao viwango vyao vimeshuka, mifano hai wanaiona wenyewe, nikiwataja hapo roho zitawauma bure wengine wana,(shinikizo), pressure
 
Back
Top Bottom