Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Pamoja na hayo yote wasukuma wale wanaofuga ng'ombe porini wana dawa ya kumfanya nyoka asimuone wala kugusa kundi la ng'ombe. Pia, wasukuma wanatibu kama mtu akiwahiwa mapema.

Hili dude kuna siku limeangusha ng'ombe 10 kwa mpigo. Liligonga kama 13, ziliokolewa tatu tu
Duh poleni sana Wakwe na Shemeji zangu
 
Nasikia huyu ankali MAMBA ana kisasi sana anaweza akakaa chini yauvungu wa gari mpaka ahakikishe anaishi na wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni noma aisee, nilishaona clip mzungu ilikuwa amlenge akiwa anavuka barabara. Akasimama amngoje avuke. Kumbe jamaa hajavuka kapanda uvunguni kwenye engine kajisogeza hadi usawa wa mlango. Ile mzungu kaondoa gari tu kumbe kambeba. Jamaa anafika home tu na kupaki ndinga anafungua mlango ile anashusha mguu tu akapewa moja tu. Akajua kabisa ni yule black mamba waliomkwepa road kumbe alipanda gari akasepa nao.
 
Huyu ni nyoka mkorofi, katili ana sumu kali, anasifa ya urefu anafika hadi miguu 14 kwa hesabu za Kiswahili! yaani piga hatua ukizihesabu 14. Ndo urefu wake. Usipige msamba.

Siyo mwili jumba kama akina Python (Chatu) ni nyoka mwenye roho mbaya kishenzi, kwanza amejaaliwa mbio kuliko nyoka wengi!

Ukikutana nae kitaani kwake(porini) mshkaji lazima akupige beat moja kali sana atakuonyesha kuwa Mimi African Black Mamba. Nyoka niliye jaaliwa sumu kali kuliko nyoka wote! Ataachama huku amekutolea mijicho anakucheck uta react vipi.

Ulaya hayupo huyu lkn Wazungu wanamtambua vema wakitaka kuja Afrika kuna viumbe kwanza wanapewa stories zao. Wanaambiwa mkifika huko mnapaswa kuchukua tahadhari ya hali ya juu na viumbe hivi hatari. Ktk list huyu nae yumo! Wanamwelewa kinyama. Hata ukikutana na mzungu airport anakuuliza "aint there black mamba around here?" Yaani "je hamna koboko maeneo ya karibu hapa" huku mzungu amejificha mgongoni mwako.

ANAPOPATIKANA
Anapatikana katika Bara la Africa tu. Ndiye moja ya nyoka hatari kabisa! Anatoa sumu aina mbili na zote ni hatari! Anatoa sumu inayojulikana kama "Neurotoxin hii huathiri mfumo wa neva, na pia anatoa sumu nyingine aina ya Cardiotoxin hii hushambulia mfumo wa moyo. Nyoka huyu akikuuma ndani ya dakika 20 tu! Watu wanakula ubweche unazikwa maisha yanaendelea.

ISHARA ZAKE
Ukipata bahati yakukutana naye mitaa yake kwanza atakutisha!atakuchimba bonge la beat ata achama kinywa ama mdomo wake wenye rangi nyeusi kwa ndani! Kinywa chake ni cheusi kwa ndani na ndio kimefanya aitwe Black Mamba!

Pili utamsikia anatoa sauti kama psiiiiiii! Au kama tairi linalotoa upepo, Tatu utamuona anatanua shingo yake japo si kama ya Cobra!!! Hapo ujue uko mbele ya nyoka hatari kabisa!! Cool down man nikueleze kitu.

VITU VIWILI USIJETHUBUTU KUVIFANYA!
Moja usikimbie hapo ata mind zaidi maana atahisi kumbe ulikuwa na nia mbaya naye. Sasa hapo ndo utamweleza ulikuwa unakimbia nini maana ana mbio zaidi ya kitu chochote ! Mamba anakimbia Maili 12 kwa saa... Na akikukimbiza hakubali hadi akugonge sehemu ya mwili wako. Ye ardhini huwa anateleza babaake.

Na ukimkimbia ni lazima tu atakuunganishia! hakuachi, Na hatakukosa! maana anakuwa tayari ashaku mind. Anakuwa amekwazika kwa nini ukimbie kama hukuwa na nia mbaya naye?

Pili kuna wale watu akiona tu nyoka ye anakimbilia fimbo au jiweoooohoooh!!! utaharibu. Siku ukikutana na nyoka huyu acha hayo mambo ya kifala ndo atakugonga gonga mpaka uwe kama chujio kwa mashimo atakayokuachia mwilini.

Wataalam wanakwambia nyoka huyu hapigwi! Kwani hata hilo jiwe huenda usiwahi kulirusha au mfe wote! Kwani Black Mamba anasifika kwa Show za kikatili anashambulia vibaya sana! yaani mpaka anapokata roho anaweza akawa anaendelea kugonga tu adui.huku anakata roho anaendelea kugonga tu hafai.

MAPUNGUFU YAKE:
Pamoja na kumuumba nyoka huyu na Sumu kali mbio nyingi, hasira na urefu lakini hapo hapo nyoka huyu ana aibu au huruma fulani hivi alikuona kumbe we mchovu tu. ukikutana nae akianza kukuonyesha sarakasi zake kuwa mimi ndie nyoka hatari nawe Binaadam ukijishusha usikimbie wala usitupe jiwe ubaki unamuangalia tu macho kwa macho! Unaambiwa atatuliza mzuka!

Na wala hatakugusa ataingia zake mitini! Huku akichezesha mkia kuwa mnaagana kwa amani.sasa hapo usije ukaanza ujinga kudhani amekugwaya ukata urudi kwenye ule ujinga wa kutafuta jiwe au fimbo.safari hii...yaani utakufa na kwenda kujilaumu huko uliko kwa kipigo atakachotoa kwako.

UZAO WAKE:
Mamba anataga mayai kama kuku tu kiota chake huwa ardhini. Jike anataga mayai 10-25 akishataga mayai yake huwa yanajiengua yenyewe tu baada ya miezi mitatu. Joto ni muhimu kwa ajili ya lncubation vitoto vyake vikisha jitotoa unaambiwa vinaanza mishe saa hiyo hiyo hujitegemea kwa kila kitu! Na vinakuwa na sumu kali kama Mama yao tu yaani haina kuremba!

UMRI WAKE:
Nyoka huyu anaishi hadi miaka 11 porini. Akiwa anafugwa anaweza kuishi hadi miaka 12. Wadau. Hayo ndo mambo ya koboko. Ntaleta tena stories za Cobra.ngoja ni mstudy na ikiwezekana nifanye interview naye.

View attachment 1393192







Kwa hisani ya watu wa Maporini.
Kwangu mi niliemuona Huyo kiumbe nahisi ndo shetani mwenyewe make si kwa akili na maarifa aliyonayo Koboko.
Hata mwili wa alieng’atwa na koboko ukiuparamia lile jasho likakugusa kufa hufi ila maluwe luwe au nyota utaziona tu
Nyoka wengi wana tabia ya kung’ata mara moja tu ila koboko sio mara 1 ana uwezo wa kung’ata mara nyingi ndani ya muda mchache tofauti na wengine!
Hauwi adui kwa ajili ya kitoweo/chakula la hasha huuwa kwa ajili ya kujimwambafai.
Mara nyingi huamua tu kukaa njiani makusudi, kwa wachungaji waweza swaga mifugo huku nyuma kumbe walio mbele washamuona wanagoma kwenda na koboko kitu hataki ni kero/ bugudha sasa kazi inabaki ni kugonga tu mifugo, hata gari analidindia kabisa.
Nyoka yo yote akimhisi binadam karibu na alipo hukimbia au kumkwepa kulingana na uadui Mungu aliouweka kati yetu na nyoka, cha ajabu koboko ye huo muda hana zaidi ya kuja ulipo.
Vile vile ana tabia ya kutokomea kichakani au kwenye nyasi ndefu then akawahi mbele kuhakiki au kujiridhisha kama huna nia mbaya yaani waweza kufikiri ulimuacha umbali wa 1km ghafla akakatiza kwa mbele yako.
Aweza vuka barabara na utaona kimkia kinapotea ghafla anainuka anatua katikati ya barabara, kwa ujumla ana mikongo mingi sana ambayo usipokuwa makini utaanzisha shari kitu akitacho.
Kutana na koboko katika harakati zake za kawaida, ila sio koboko aliekosa nafasi ya kumpanda koboko jike. (Koboko Mbabe ndo hupanda jike tu)
Lakini pia koboko ni mlaji mzuri wa mbegu za bangi (marijuan)
 
mmenikumbusha juzi hapa nipo home usiku unajua ss tunaokaa pembeni ya mji tunabahati ya kuonana na viumbe hivi kila mara..

sasa nimekaa zangu usiku mtoto atanikimbilia anasema nyoka mkubwa jikoni eeh nilipata ngazi, nikawah faster ile nachungulia hivi kitu cheusi kipo katikati ya jiko mara huyo kaingia kwenye matndoo usawa wa masinki nikasema hapa kazi ipo nyoka mkubwa urefu wa mkono ...

nikawaambia watoto wote watoke wakae mbali na wasipige kelele nikawa mlangoni natafakari cha kufanya nikasema hapa nisitumie marungu nitajiharaisha maisha hapo nilisha somaga mada kibao za manyoka hapa jf akilli yote naomba asiwe black mamba maana hadi wakati huo huyo nyoka hakumuona mtu kwa hiyo alikuwa hana wasiwasi ni kama alikuwa anafuata joto au aliona panya nadhani ..

haraka nikawaambia nileteeni mafuta ya taa yajae kwenye kopo la maji ya kunywa la nusu lita nikawa mlangoni namchora na kuakikisha na jua movements zake zote mule jikon nikatoboa kopo la mafuta kwa msumarijuu kwenye kizibo nikahakikisha mafuta yana presha kubwa ya km mita 6 au 7 mamb yte hayo nilifanya kwa spindi na kwa haraka bila yule nyoka kugundua km ameonekana

nyoka alijiroga akaingi chini ya sinki nakulikuwa na ndoo pale nikanyata hadi katikati ya jiko kwanza nikamwaga mafuta chini kwenye tailizi ya kutosha yakasambaa pote kazi ikabaki moja tu kumchokonyoa huko alipo ili atoke sasa balaa .. maana hujui atarukaje huko nilipuriza mafuta ya kutosha kwa spidi bila kuacha kule kwenye sinki km sekunde sita naona kitu hiki hapa nika sema nikilegea nitasababisha madhara kwa wengine ivyo nikakazadha kurusha mafuta akakurupuka huka ili atoke sasa weee... ile anatoka atambae akatambali mafuta akaona imeshakuwa soo akataka kunyanyuka kam atembee hewani sijui ndo haruke akashindwwa akajikuta katua tena kwenye mafuta nikamshindilia mengine juu ya mgongo alijibilingisha nikampa tena ya tumbooo nikaona taratibu anakuwa mpole anajikuja akasalimu amri kirahisi sana nikachukua ponti za nokauti bila kutumia nguvu mbwa wangu akaja kumalizia kazi iliyobakia..

ila swali nililobaki nalo yule nyoka aliweza kuingia mule ndani na wakati huohuo kuna tailizi yaani mwanzo nilipo muona alinifanya nishake kwanza thank kwa wadau humu kwa kutujulisha silaha za uhakika za kupambana na hawa viumbe mafuta ya nimeyakubali sana yani nilimmaliza kirahisi sana yule shwaine..
 
Ndo maaana kumbe. Akishakula mbegu za bangi anajiona yeye ndo simba,yeye ndo tembo,yeye ndo nyati.




Kwangu mi niliemuona Huyo kiumbe nahisi ndo shetani mwenyewe make si kwa akili na maarifa aliyonayo Koboko.
Hata mwili wa alieng’atwa na koboko ukiuparamia lile jasho likakugusa kufa hufi ila maluwe luwe au nyota utaziona tu
Nyoka wengi wana tabia ya kung’ata mara moja tu ila koboko sio mara 1 ana uwezo wa kung’ata mara nyingi ndani ya muda mchache tofauti na wengine!
Hauwi adui kwa ajili ya kitoweo/chakula la hasha huuwa kwa ajili ya kujimwambafai.
Mara nyingi huamua tu kukaa njiani makusudi, kwa wachungaji waweza swaga mifugo huku nyuma kumbe walio mbele washamuona wanagoma kwenda na koboko kitu hataki ni kero/ bugudha sasa kazi inabaki ni kugonga tu mifugo, hata gari analidindia kabisa.
Nyoka yo yote akimhisi binadam karibu na alipo hukimbia au kumkwepa kulingana na uadui Mungu aliouweka kati yetu na nyoka, cha ajabu koboko ye huo muda hana zaidi ya kuja ulipo.
Vile vile ana tabia ya kutokomea kichakani au kwenye nyasi ndefu then akawahi mbele kuhakiki au kujiridhisha kama huna nia mbaya yaani waweza kufikiri ulimuacha umbali wa 1km ghafla akakatiza kwa mbele yako.
Aweza vuka barabara na utaona kimkia kinapotea ghafla anainuka anatua katikati ya barabara, kwa ujumla ana mikongo mingi sana ambayo usipokuwa makini utaanzisha shari kitu akitacho.
Kutana na koboko katika harakati zake za kawaida, ila sio koboko aliekosa nafasi ya kumpanda koboko jike. (Koboko Mbabe ndo hupanda jike tu)
Lakini pia koboko ni mlaji mzuri wa mbegu za bangi (marijuan)
 
Luna story Nilisikia kuwa paka nae ni mataalamu wa kuuwa nyoka ndan ya dk 0 jamaa alinambia ukimuona nyoka unamleta paka unamchonganisha au unampleka sehem ambayo nyoka yupo hats awe koboko hapa atasalimu amri maana paka anapenda sana zile staili za nyoka kuinua kichwa sijui kupanda juu no mda mfupi sana atawekwa chini ya ulinzi we utazika tu
 
Huyu ni nyoka mkorofi, katili ana sumu kali, anasifa ya urefu anafika hadi miguu 14 kwa hesabu za Kiswahili! yaani piga hatua ukizihesabu 14. Ndo urefu wake. Usipige msamba.

Siyo mwili jumba kama akina Python (Chatu) ni nyoka mwenye roho mbaya kishenzi, kwanza amejaaliwa mbio kuliko nyoka wengi!

Ukikutana nae kitaani kwake(porini) mshkaji lazima akupige beat moja kali sana atakuonyesha kuwa Mimi African Black Mamba. Nyoka niliye jaaliwa sumu kali kuliko nyoka wote! Ataachama huku amekutolea mijicho anakucheck uta react vipi.

Ulaya hayupo huyu lkn Wazungu wanamtambua vema wakitaka kuja Afrika kuna viumbe kwanza wanapewa stories zao. Wanaambiwa mkifika huko mnapaswa kuchukua tahadhari ya hali ya juu na viumbe hivi hatari. Ktk list huyu nae yumo! Wanamwelewa kinyama. Hata ukikutana na mzungu airport anakuuliza "aint there black mamba around here?" Yaani "je hamna koboko maeneo ya karibu hapa" huku mzungu amejificha mgongoni mwako.

ANAPOPATIKANA
Anapatikana katika Bara la Africa tu. Ndiye moja ya nyoka hatari kabisa! Anatoa sumu aina mbili na zote ni hatari! Anatoa sumu inayojulikana kama "Neurotoxin hii huathiri mfumo wa neva, na pia anatoa sumu nyingine aina ya Cardiotoxin hii hushambulia mfumo wa moyo. Nyoka huyu akikuuma ndani ya dakika 20 tu! Watu wanakula ubweche unazikwa maisha yanaendelea.

ISHARA ZAKE
Ukipata bahati yakukutana naye mitaa yake kwanza atakutisha!atakuchimba bonge la beat ata achama kinywa ama mdomo wake wenye rangi nyeusi kwa ndani! Kinywa chake ni cheusi kwa ndani na ndio kimefanya aitwe Black Mamba!

Pili utamsikia anatoa sauti kama psiiiiiii! Au kama tairi linalotoa upepo, Tatu utamuona anatanua shingo yake japo si kama ya Cobra!!! Hapo ujue uko mbele ya nyoka hatari kabisa!! Cool down man nikueleze kitu.

VITU VIWILI USIJETHUBUTU KUVIFANYA!
Moja usikimbie hapo ata mind zaidi maana atahisi kumbe ulikuwa na nia mbaya naye. Sasa hapo ndo utamweleza ulikuwa unakimbia nini maana ana mbio zaidi ya kitu chochote ! Mamba anakimbia Maili 12 kwa saa... Na akikukimbiza hakubali hadi akugonge sehemu ya mwili wako. Ye ardhini huwa anateleza babaake.

Na ukimkimbia ni lazima tu atakuunganishia! hakuachi, Na hatakukosa! maana anakuwa tayari ashaku mind. Anakuwa amekwazika kwa nini ukimbie kama hukuwa na nia mbaya naye?

Pili kuna wale watu akiona tu nyoka ye anakimbilia fimbo au jiweoooohoooh!!! utaharibu. Siku ukikutana na nyoka huyu acha hayo mambo ya kifala ndo atakugonga gonga mpaka uwe kama chujio kwa mashimo atakayokuachia mwilini.

Wataalam wanakwambia nyoka huyu hapigwi! Kwani hata hilo jiwe huenda usiwahi kulirusha au mfe wote! Kwani Black Mamba anasifika kwa Show za kikatili anashambulia vibaya sana! yaani mpaka anapokata roho anaweza akawa anaendelea kugonga tu adui.huku anakata roho anaendelea kugonga tu hafai.

MAPUNGUFU YAKE:
Pamoja na kumuumba nyoka huyu na Sumu kali mbio nyingi, hasira na urefu lakini hapo hapo nyoka huyu ana aibu au huruma fulani hivi alikuona kumbe we mchovu tu. ukikutana nae akianza kukuonyesha sarakasi zake kuwa mimi ndie nyoka hatari nawe Binaadam ukijishusha usikimbie wala usitupe jiwe ubaki unamuangalia tu macho kwa macho! Unaambiwa atatuliza mzuka!

Na wala hatakugusa ataingia zake mitini! Huku akichezesha mkia kuwa mnaagana kwa amani.sasa hapo usije ukaanza ujinga kudhani amekugwaya ukata urudi kwenye ule ujinga wa kutafuta jiwe au fimbo.safari hii...yaani utakufa na kwenda kujilaumu huko uliko kwa kipigo atakachotoa kwako.

UZAO WAKE:
Mamba anataga mayai kama kuku tu kiota chake huwa ardhini. Jike anataga mayai 10-25 akishataga mayai yake huwa yanajiengua yenyewe tu baada ya miezi mitatu. Joto ni muhimu kwa ajili ya lncubation vitoto vyake vikisha jitotoa unaambiwa vinaanza mishe saa hiyo hiyo hujitegemea kwa kila kitu! Na vinakuwa na sumu kali kama Mama yao tu yaani haina kuremba!

UMRI WAKE:
Nyoka huyu anaishi hadi miaka 11 porini. Akiwa anafugwa anaweza kuishi hadi miaka 12. Wadau. Hayo ndo mambo ya koboko. Ntaleta tena stories za Cobra.ngoja ni mstudy na ikiwezekana nifanye interview naye.

View attachment 1393192







Kwa hisani ya watu wa Maporini.
Good presentation style..inavutia kusoma japo inatisha

Siyo Kila Kiuzwacho Sokoni Chafaa Kununuliwa
 
Huyu ni nyoka mkorofi, katili ana sumu kali, anasifa ya urefu anafika hadi miguu 14 kwa hesabu za Kiswahili! yaani piga hatua ukizihesabu 14. Ndo urefu wake. Usipige msamba.

Siyo mwili jumba kama akina Python (Chatu) ni nyoka mwenye roho mbaya kishenzi, kwanza amejaaliwa mbio kuliko nyoka wengi!

Ukikutana nae kitaani kwake(porini) mshkaji lazima akupige beat moja kali sana atakuonyesha kuwa Mimi African Black Mamba. Nyoka niliye jaaliwa sumu kali kuliko nyoka wote! Ataachama huku amekutolea mijicho anakucheck uta react vipi.

Ulaya hayupo huyu lkn Wazungu wanamtambua vema wakitaka kuja Afrika kuna viumbe kwanza wanapewa stories zao. Wanaambiwa mkifika huko mnapaswa kuchukua tahadhari ya hali ya juu na viumbe hivi hatari. Ktk list huyu nae yumo! Wanamwelewa kinyama. Hata ukikutana na mzungu airport anakuuliza "aint there black mamba around here?" Yaani "je hamna koboko maeneo ya karibu hapa" huku mzungu amejificha mgongoni mwako.

ANAPOPATIKANA
Anapatikana katika Bara la Africa tu. Ndiye moja ya nyoka hatari kabisa! Anatoa sumu aina mbili na zote ni hatari! Anatoa sumu inayojulikana kama "Neurotoxin hii huathiri mfumo wa neva, na pia anatoa sumu nyingine aina ya Cardiotoxin hii hushambulia mfumo wa moyo. Nyoka huyu akikuuma ndani ya dakika 20 tu! Watu wanakula ubweche unazikwa maisha yanaendelea.

ISHARA ZAKE
Ukipata bahati yakukutana naye mitaa yake kwanza atakutisha!atakuchimba bonge la beat ata achama kinywa ama mdomo wake wenye rangi nyeusi kwa ndani! Kinywa chake ni cheusi kwa ndani na ndio kimefanya aitwe Black Mamba!

Pili utamsikia anatoa sauti kama psiiiiiii! Au kama tairi linalotoa upepo, Tatu utamuona anatanua shingo yake japo si kama ya Cobra!!! Hapo ujue uko mbele ya nyoka hatari kabisa!! Cool down man nikueleze kitu.

VITU VIWILI USIJETHUBUTU KUVIFANYA!
Moja usikimbie hapo ata mind zaidi maana atahisi kumbe ulikuwa na nia mbaya naye. Sasa hapo ndo utamweleza ulikuwa unakimbia nini maana ana mbio zaidi ya kitu chochote ! Mamba anakimbia Maili 12 kwa saa... Na akikukimbiza hakubali hadi akugonge sehemu ya mwili wako. Ye ardhini huwa anateleza babaake.

Na ukimkimbia ni lazima tu atakuunganishia! hakuachi, Na hatakukosa! maana anakuwa tayari ashaku mind. Anakuwa amekwazika kwa nini ukimbie kama hukuwa na nia mbaya naye?

Pili kuna wale watu akiona tu nyoka ye anakimbilia fimbo au jiweoooohoooh!!! utaharibu. Siku ukikutana na nyoka huyu acha hayo mambo ya kifala ndo atakugonga gonga mpaka uwe kama chujio kwa mashimo atakayokuachia mwilini.

Wataalam wanakwambia nyoka huyu hapigwi! Kwani hata hilo jiwe huenda usiwahi kulirusha au mfe wote! Kwani Black Mamba anasifika kwa Show za kikatili anashambulia vibaya sana! yaani mpaka anapokata roho anaweza akawa anaendelea kugonga tu adui.huku anakata roho anaendelea kugonga tu hafai.

MAPUNGUFU YAKE:
Pamoja na kumuumba nyoka huyu na Sumu kali mbio nyingi, hasira na urefu lakini hapo hapo nyoka huyu ana aibu au huruma fulani hivi alikuona kumbe we mchovu tu. ukikutana nae akianza kukuonyesha sarakasi zake kuwa mimi ndie nyoka hatari nawe Binaadam ukijishusha usikimbie wala usitupe jiwe ubaki unamuangalia tu macho kwa macho! Unaambiwa atatuliza mzuka!

Na wala hatakugusa ataingia zake mitini! Huku akichezesha mkia kuwa mnaagana kwa amani.sasa hapo usije ukaanza ujinga kudhani amekugwaya ukata urudi kwenye ule ujinga wa kutafuta jiwe au fimbo.safari hii...yaani utakufa na kwenda kujilaumu huko uliko kwa kipigo atakachotoa kwako.

UZAO WAKE:
Mamba anataga mayai kama kuku tu kiota chake huwa ardhini. Jike anataga mayai 10-25 akishataga mayai yake huwa yanajiengua yenyewe tu baada ya miezi mitatu. Joto ni muhimu kwa ajili ya lncubation vitoto vyake vikisha jitotoa unaambiwa vinaanza mishe saa hiyo hiyo hujitegemea kwa kila kitu! Na vinakuwa na sumu kali kama Mama yao tu yaani haina kuremba!

UMRI WAKE:
Nyoka huyu anaishi hadi miaka 11 porini. Akiwa anafugwa anaweza kuishi hadi miaka 12. Wadau. Hayo ndo mambo ya koboko. Ntaleta tena stories za Cobra.ngoja ni mstudy na ikiwezekana nifanye interview naye.

View attachment 1393192







Kwa hisani ya watu wa Maporini.
Una nyotaa ya nyokà.wewe.mpwaaa jipangee usijee uma.wanaoo
 
Nikiwa zangu same kijijini uko na mdogo angu nikiwa around 9years ..Mara paap panya kapita spidi..kushangaza anakuja mzee kasimamia mkia..Yuko spidi hatari..sekunde thelasini keshamkamata panya afu apo si tumekaa tunashangaa..akarudi tena kashika panya wake akasogea mita moja ad usawa wa mabega yangu uku mi namuangalia tu,,asee anatisha balaaa usoni..afu nayeye anatuangalia uku Sasa kasimamia nusu ya tumbo...alivoona hatuna madhara akateleza uyo mshenzi..Yani kwa jinsi alivomrefu na kasimamia tumbo.kwenye vichaka unamuona hata umbali wa mita 20...kubabake apo alivofka mbali ndo nikajitia van same kubeba mawe..wakati huo Yuko mbali na sikurusha ata jiwe...thanks GOD hatukuogopa alivopita kututisha maana sio kwa utashi wetu...
 
Luna story Nilisikia kuwa paka nae ni mataalamu wa kuuwa nyoka ndan ya dk 0 jamaa alinambia ukimuona nyoka unamleta paka unamchonganisha au unampleka sehem ambayo nyoka yupo hats awe koboko hapa atasalimu amri maana paka anapenda sana zile staili za nyoka kuinua kichwa sijui kupanda juu no mda mfupi sana atawekwa chini ya ulinzi we utazika tu

Ofcoz paka haogopi nyoka nyoka akichubuliwa kdg tu hawez pona


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huwa natazama kipindi flan kinaitwa Snake in the city kule kwenye national geographic wild, kuna jamaa mmoja nadhani yuko South Africa anawakamata saaana hawaa, bilaa ubishi wowoteeee
Black Mamba ni nyoka mkorofi na anaengoza kwa sumu kali hapa Africa, ila story nyingi zinazomuelezea huyu mjomba zimejaa chumvi nyingi sana, yaani hata yeye mwenyewe angekua anajua kusoma makala zinazomzungumzia naamini angekufa kwa mshtuko wa moyo kwa kuona jinsi watu wanavyomsingizia.
 
Pamoja na nyoka huyu kuwa tishio Sana lakini kuna huyu mnyama hapa jamii ya panya anaitwa Mongoose, anakula black mamba..kama SOSEJI vile

Katika uumbaji hata kama mnyama ni mkali vipi lazima awe na mbabe wake humo humo porini



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom